ππSitak kukujibu.πmkorofi,we binti wewe
Itakuwa ilikuwa sherehe za Christmas.Wanyakyusa hawanaga Jambo dogo[emoji23]View attachment 2468622
Nakwambia ccy jana usiku nililala nmewasha taa ya chooni lkn bado nahisi dude litatokea kabatini.Usiku unaenda kunyonywa damu ulivo muoga sasa Kama naliona jini Alfwat π½π½π½π½π½ππ
Pigo zangu kabisa hizo nikienda Mlimani CityπKina To yeye na Saint Anne khekhekhe
Pigo zangu kabisa hizo nikienda Mlimani City
Nazunguka weeeπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£! NimechekaaaaaNazunguka weee
Picha kama zote,uzuri hawakatazi.
Hapo bado pozi la kuchuchumaa.
Halafu natoka na parachichi la miatano.
Wanyakyusa na matakapera hatujambo.
ππNazijua kabisa pigo zako ccy.Pigo zangu kabisa hizo nikienda Mlimani Cityπ
Ww ni mpemba pia?!Nakuusia kijana mkakati wa kuchafua wapemba utakuletea shida. Maana naona hili unalichukulia poa. Wewe Kiarabu unakifahamu? Ulijuaje kuwa aliongea kiarabu? Hizi ni fitna na propaganda chafu sana.
UMUGHAKA anashangaa,mapozi ya picha kama yoteππNazijua kabisa pigo zako ccy.
Ulienda kuonana na Umughaka? Muende wote kumuona rfk ake alofungwa
Kwa panic hii, inaonesha story imegusa maslahi yako ya ukweli.Nakuusia kijana mkakati wa kuchafua wapemba utakuletea shida. Maana naona hili unalichukulia poa. Wewe Kiarabu unakifahamu? Ulijuaje kuwa aliongea kiarabu? Hizi ni fitna na propaganda chafu sana.