Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wazalendo,nyie watu wa Dar mmevurugwa
 
Daaaah..... Hii ni ID ya nani? Sema ukweli.
 
Mkuu kama wewe unawafahamu bila shaka unachohisi walimfanyia jamaa watakuwa wadhakufanyia wewe saaana maana unasema umehusika na kukaa kwake mjini kwaio kila alilofanyiwa bila shaka ulimtangulia πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Haya sheikh. Mi sintosema mengi kwa sasa ye ajua mi namaanisha nini. Inshallah...yatalipwa haya.
 
Kwa huu upembuzi wako yakinifu,ungekuwa serious hivi kwenye elimu yako nadhani Sasa ungekuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali...
 
No mimi siwezi mind kuitwa sina akili. Mimi si ni CHIZI umeona ID yangu? So nafurahi kuitwa hivyo. Nimesikitika tu kuwa yeye nawa tumempokea leo anajioona mjanja....🀣
Bro, hata vunja bei kuna wajanja walimpokea mjini hapa ila saivi kawaacha mbali sana, so chill mkuu Prof J aliachwa na Zubeda aliyemtoa kijijini Sutimbi 🀣🀣🀣🀣🀣
 
Bro, hata vunja bei kuna wajanja walimpokea mjini hapa ila saivi kawaacha mbali sana, so chill mkuu Prof J aliachwa na Zubeda aliyemtoa kijijini Sutimbi 🀣🀣🀣🀣🀣
Ha ha ha... Mimi kiuchumi sina tatizo nasikitika tu jamaa kaingizwa mjini ameshazoea sasa....haya yote heri lakini....🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…