Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Hoya dogo tuma episode nyingine. Na useme alichokufanya Mpemba Ami Ally Mahmoud. Si unasema hii ni true story? Sema yote sasa. Mi nasubiria nione kama utaandika yote.

TUMA EPISODE NYINGINE KWA HARAKA KIDOGO.
Kwani si alishaeleza kila kitu kwenye ule uzi wake wa kipindi kile alikopatiwa kazi ya kuangalia liTV la kaka mwarabu ambae hapa anamuita Ally mpemba
 
Unajua nilikua siamini kwamba watanzania milion 7 wanaugua magonjwa ya akili, sasa nimeamini,
Sasa kama.mtu anajiita CHIZI, hapo unakua unapigia mstari tu.
Watu kama hawa ndio wanafanya hata wengine waonekane machizi kama yeye. Yaani utabishana nae wee mpqka baadae utaonekana huna akili pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani si alishaeleza kila kitu kwenye ule uzi wake wa kipindi kile alikopatiwa kazi ya kuangalia liTV la kaka mwarabu ambae hapa anamuita Ally mpemba
Kumbe unakumbuka......πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huyu jamaa mi huwa namshangaa sana.... Leo hii anamponda mpemba wakati mpemba amemtoa mbali sana kipindi hicho anamwita kaka mwarabu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…