Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 09.




Mwenye duka "Mambo vipi?"

Mimi "Shwari"

Mwenye duka "Jamaa yako anahama nini!"

Mimi "Nani?"

Mwenye duka "Jamaa yako na Mmakonde wake!"

Mimi "Steve?"

Mwenye duka "Eeh!"

Mimi "Wanahama lini?"

Mwenye duka "Naona wanapakia vitu kwenye Suzuki carry"

Mimi "Mbona hajaniambia!"

Mwenye duka "Nyie si marafiki!,ina maana rafiki yako anahama wewe hujui!"

Mimi "Labda wameona waondoke kimya kimya kaka"

Mwenye duka "Sawa bhana baadae"


Baada ya huyo mwenye duka kukata simu nilibaki kushangaa kwasababu zilikuwa ni sababu zipi zinafanya Steve ahame bila kunipa taarifa kama mshikaji wake wa karibu?,nilidhani uenda aliamua kuhama kwasababu alishachoka maneno mengi kuhusu huyo mkewe yaliyokuwa yakizungumzwa hapo mtaani,niliamua kumpigia simu ili kufahamu kilichokuwa kinaendelea na kwanini asiniage kama rafiki yake?

Nilipopiga simu yake ikawa inaita tu bila kupokelewa,nikapiga tena lakini ikawa haipokelewi,baada ya dakika 15 jamaa akanipigia yeye mwenyewe.

Steve "Kaka nilikuwa bize na mteja,nambie mwanangu"

Mimi "Uko Tandika?"

Steve "Yeah niko Tandika"

Mimi "Duuu mi nadhani uko maskani!"

Steve "Mapema yote hii kaka nyumbani nitafute nini?"

Mimi "Kwani pale nyumbani unahama?"

Steve "Nahama?,nahama naenda wapi?"

Mimi "Mbona nimepigiwa simu na mzee beda anasema mkeo anapakia vyombo kwe gari hivyo alidhani mnahama!"

Steve "Unasema?"

Mimi "Mpigie mzee beda umuulize"


Baada ya mazungumzo hayo ambayo ni kama yalimshitua Steve,alikata simu akawa amempigia yule jamaa aliyekuwa na duka kando ya nyumba tulivyokuwa tumepanga.Haukupita muda Steve akawa amenipigia simu tena.


Steve "Kaka ngoja kwanza niwahi nyumbani"

Mimi "Ni kweli?"

Steve "Ni kweli kaka"

Mimi "Anapeleka wapi vyombo au anatoroka?"

Steve "Ngoja niwahi kaka!"

Jamaa alionekana kupagawa sana na asijue ni kitu gani cha kufanya,kiukweli yule demu nilishamshauri sana kama mshikaji wake aachane nae lakini jamaa nikama alikuwa amerogwa,yule demu alikuwa akimfanyia vituko vya kila aina lakini Steve alikuwa haambiliki wala ashauriki,sikuwahi kuelewa ni kitu gani kilimfanya Steve apagawe kwa kile kitoto cha kimakonde.Pasipokuelewa ni kitu gani kilikuwa kinaendelea,mimi niliendelea kupiga zangu kazi kama kawaida.

Ilipofika mida ya saa 11 jioni,Steve akawa amenipigia simu tena akiwa analia kana kwamba kafiwa.

Steve "Kaka Zubeda kaondoka"

Mimi "Acha kulia mwanangu nakuja muda siyo mrefu"

Steve "Kaka Zuu wangu wamemchukua"

Mimi "Nakuja kaka wewe nisubiri"


Jamaa alikuwa akilia kama tahira,sikujua Steve alikuwaga akisimbuliwa na kitu gani kwasababu jamaa alikuwa na sura ya kirembo(Handsome) na kiukweli ungemuona usingedhani kama alikuwa mpumbavu wa kulilia mwanamke kiasi kile.Ilipofika saa 11 : 30 niliamua kukunja ile meza pamoja na mwamvuli nikapeleka mahali ambapo nilikuwa natunzia kila siku,mwaka ule ilipokuwa ikifika saa 12 : 00 jioni na usajili pia ulikuwa unasitishwa,sasa wakati naondoka yule brother wa lile duka la simu(Sitamtaja jina lake halisi kwasababu maalumu,hivyo nitampatia jina la Ally Mpemba) akawa ameniita na mara zote nikiwa pale alikuwa akiniita "Master",alipenda kuniita kwa utani hivyo kwasababu alikuwa akiona shughuli niliyokuwa nikiifanya ndipo akawa ananiita hivyo Master,alikuwaga ananiambia "Aisee wewe nakukubali sana,wewe ni master wa hizi kazi".Kwahiyo ikaenda kimzaha mzaha hivyo hadi akawa ananiita master,jamaa alikuwa ni mpemba lakini vilevile alikuwa mwarabu,nadhani tunafahamu jamaa wanavyokuwaga.

Ally Mpemba "Mbona wawahi kufunga leo,kunani!"

Mimi "Ndiyo muda wenyewe huu kaka"

Ally mpemba "Aaah Master siyo kawaida yako!"

Mimi "Kuna ishu naiwahi maskani kaka"

Ally mpemba "Kesho nikitoka kuswali,tuonane basi!"

Mimi "Tutaonana kaka,si utakuwepo?"

Ally mwarabu "Nadhani nitakuwa kule Aggrey,hapa atakuwepo dada yako"

Mimi "Sawa kaka haina tatizo"

Sasa kumbe mara zote mimi nimekuwa nikifikiria yule Aunt ninayemkuta pale dukani anayependa kujifunika Nikabu ni mkewe kumbe alikuwa ni dada yake;baada ya mazungumzo na Ally niliondoka zangu kwenda kufukuzana na magari ya Gongo la mboto.

Namshukuru Mungu niliingia Gongo la mboto mida ya saa 1 usiku,nilipofika pale nyumbani nilikuta Steve amekaa kwenye mlango wa chumba chake,nilipitiliza moja kwa moja hadi kwa Steve.

Mimi "Vipi?"

Steve "Ali siyo poa kaka"

Niliingia ndani ya kile chumba nikakuta vitu muhimu vyote vimekombwa na yule demu wake,alichokuwa ameacha ni vyombo vya kupikia tu,lakini TV chogo,friji,jiko la gesi,mashuka na vitu vidogo vidogo vyote alikomba.

Mimi "Aiseee,sasa utafanyaje?"

Steve "Nampigia simu zangu hapokei!"

Mimi "Kwani mligombana jana?"

Steve "Tangu siku ile kaka huwezi amini sijagombana nae"

Mimi "Kwani kwao ni wapi?"

Steve "Kwao Mtwara kaka ila yupo dada yake pale Mombasa ndipo alipokuwa anakaa kabla sijamchukua"

Mimi "Dada yake ushampigia simu?"

Steve "Nimempigia akaniambia huyo hawezi kwenda sehemu nyingine zaidi ya kwa bwana ake wa zamani kwasababu hapa mjini hana ndugu mwingine tofauti na yeye"

Mimi "Kwahiyo na wewe umekubali aondoke na vyombo vyako kwenda kwa bwana ake huyo?"

Steve "Sasa kaka nitafanyaje?"

Kiukweli nilitamani kumzibua mabao ya kutosha yule jamaa kwa upumbavu alokuwa akiongea mbele yangu lakini niliamua kuwa mtulivu kwasababu mambo yao yalikuwa hayanihusu,kilichokuwa kinanikwaza ni namna Steve alikuwa akiumia lakini kila ukimuongelea huyo demu vibaya ni kama anachukia,sikujua yule jamaa alipewa nini na yule demu aisee!.

Mimi "Huyo mshikaji wake unamfahamu?"

Steve "Kama ndiye huyo dada yake aliyeniambia namfahamu kaka na mara kadhaa tu nimekuwa nikimfata hapo"

Mimi "Daaah ila wewe jamaa nae,sasa unafahamu kabisa demu wako anakusaliti halafu bado unaendelea nae kweli,hata kama ni kupenda mwanangu wewe umepitiliza"

Steve "Nisindikize kaka mi nikafate vyombo vyangu tu"

Mimi "Ni wapi?"

Steve "Ni hapo Pugu kajiungeni"

Sasa nilitoka nje kwenda kupiga strori kadhaa na yule jamaa wa dukani na kweli alisema ile Suzuki carry ilielekea uelekeo wa njia ya Pugu na jamaa pia alishangaa namna Steve alivyokuwa bwege kiasi kile.

Tuliondoka huo usiku kuelekea Pugu kajiungeni,tulipofika Steve aliamua kuniongoza hadi hapo kwenye hiyo nyumba aliyokuwa anakaa huyo jamaa ambaye alikuwa anamgonga huyo demu wake.Tulipofika Steve akaanza kugonga kile chumba ambacho kilikuwa kimefungwa kwa ndani,baada ya kugonga sana alitoka jamaa mmoja chokoraa tu akiwa kifua wazi.

Jamaa "Vipi"

Steve "Poa,Zuu yupo?"

Jamaa "Zuu?,Zuu yupi?"

Steve "Sadi hebu achana na maswali ya kisenge,ina maana wewe leo humjui Zuu?"

Jamaa "Zuu wapo wengi sijui wewe unamtafuta yupi!"

Steve "Demu wangu"

Jamaa "Sasa demu wako hapa kafata nini!"

Muda huo niko pembeni nasikiliza yale malumbano nilikuwa nimechukia kishenzi,kibaya zaidi kuna majirani ambao nao walikuwa wamepanga kwenye ile nyumba walikuwa nje wakipika huku wakisikiliza na kujionea lile sekeseke.Baada ya kuona wanaigiza niliamua kusogea karibu na kumuuliza swali yule dogo.

Mimi "Wewe zuu unamjua au humjui?"

Jamaa "Brother,huyo Zuu anayemuongelea huyu ni demu wangu"

Mimi "Yupo au hayupo?"

Jamaa "Yupo!"

Mimi "Basi muite"

Jamaa baada ya kuona niko serious alifunga ule mlango akarudi ndani kisha akawa ametoka na kile kidemu.Baada ya kutoka Steve alibaki kujing'ata ng'ata hata kuongea ni kama alishindwa.Baada ya kuona jamaa haongei anabaki kushangaa ilibidi niingilie kati.

Mimi "Vitu vya jamaa viko wapi?"

Zubeda "Vitu gani?"

Mimi "Kwani wewe umechukua vitu gani?"

Zubeda "Vitu nilivyochukua ni vyangu,mmh kuna swali lingine!"

Mimi "Steve hebu pambana na demu wako mi naondoka"

Steve "Kaka usiniache"

Mimi "Kilichotuleta huku ni vitu na unasikia anasema si vyako,sasa hapa tunafanya nini?"

Steve "Zuu hivyo vitu ni vyako unauhakika?"

Zubeda "Nishasema vitu nilivyochukua ni vyangu,vyako nimekuachia nadhani umevikuta"

Steve "Naomba nichukue vitu vyangu nisije kufanya vurugu hapa"

Zubeda "Weeeee ishia hapo hapo,ina maana ulikuwa unanitomba bure!"

Aliendelea "Ina maana ulikuwa unanifira bure?"

Zubeda "Acha ujinga firauni wewe"

Aliendelea "Yaani ulidhani huu mwili niwa kushikwa bure bure tu!"

Yale maneno machafu yalipelekea wale kina mama kuanza kucheka,nilimwambia Steve tuondoke,japo jamaa alikuwa akitetemeka lakini niliamua kumuondoa lile eneo na kuondoka zetu,kiukweli kile kidemu hakikuwaga na aibu hata kidogo na nilikuwa namshangaa sana Steve anawezaje kuwaacha mademu wakali wa pale ofisini akaenda kutembea na kile kichakubimbi.

Mimi "Vitu vinanunuliwa we tuondoke!"

Steve "Kaka ila Zuu nampenda,siwezi kuondoka nikamuacha kaka ni bora nife"

Mimi "Yaani unaona bora ufe kwa ajili ya mwanamke?"

Mimi "Ok,rudi ukafe!"

Niliondoka zangu lile eneo nikamuacha jamaa akiwa amekaa chini machozi yakimtoka kama tahira.Baada ya kufika nyumbani nilipika msosi nikala kisha nikaingia chumbani kulala.


Itaendelea.........
Steve mwehu kweli,kumbe alikua anakapakua tope[emoji23][emoji23]
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 12.




Alinikabidhi rasmi funguo wa ile nyumba pamoja kiasi cha Tsh 140,000/= ikiwa na maana ya kwamba kila siku nitakapokuwa hapo nyumbani kwake,basi itanipasa kutumia elfu 20 kwa ajili ya chakula cha usiku,aliniambia sipaswi kabisa kurudi nyumbani kwa muda huo atakao kuwa ametoka.Kabla hajaondoka alinionyesha gari miongoni mwa magari mawili mapya yaliyokuwa yamepaki pale ndani ya fensi.

Kulikuwa na magari mawili mapya,moja lilikuwa Audi A4 nyeusi isiyokuwa na Number Plate na nyingine ilikuwa ni Mercedes benz C63 nyeupe,hii pia haikuwa na Number Plate,hizi gari zite zilikuwa na mpya kabisa.Jamaa aliniambia mimi ninapaswa kuwa nalala kwenye Audi A4.

Baada ya yale maelekezo huku akionyesha uaminifu mkubwa kwangu Ally Mpemba alisafiri kuelekea huko Unguja kama alivyokuwa ameniambia hapo awali.Baada ya jamaa kuondoka,mimi niliendelea na shughuli zangu za usajili wa line kama kawaida na ilipofika mida ya saa 12 jioni niliondoka zangu kupanda gari kuelekea nyumbani kwa Ally Mpemba.

Nilifanikiwa kufika nyumbani kwa Ally Mpemba kabla ya saa moja,nilisukuma geti nikaingia ndani kisha nikalirudishia,sasa nilisogea moja kwa moja hadi kwenye mlango mkubwa wa kuingilia ndani,nilifungua ule mlango na kuzama ndani,nilipofika ndani nilianza kuikagua ile nyumba lakini vyumba vyote nilikuta vimefungwa na yawezekana funguo atakuwa alikuwa ameondoka nazo au aliziweka mahali,chumba ambacho nilikuwa na funguo zake ni kile alichonipa kazi ya kukifungua na kukifunga!.Ile nyumba ilikuwa ni kubwa na ilikuwa niya kifahari,ulikuwa ukiingia ndani kulikuwa na nakshinakshi za gharama kubwa(Nadhani nyumba za waarabu au wahindi huwa mnaelewa zinavyokuwaga).

Ile nyumba ulikuwa ukiiangalia kwa nje ilionekana ya kawaida tu ila kwa ndani ilikuwa nzuri sana na usingeamini kama pale anaishi mtu mmoja.

Ilipofika mida ya saa 1 usiku nilienda mpaka kwenye kile chumba nikakifungua na kiukweli sikuweza kuvumilia ilibidi nisogeze shingo karibu na mlango,niliwasha taa kutazama ndani,nilipotazama ndani nilikuta kuna kitanda ambacho kilikuwa kimetandikwa kwa unadhifu wa hali ya juu,pia kulikuwa na makabati ya nguo pamoja na vitu vingine vya kawaida ambavyo huwa vinapatikana vyumbani.Niendelea kutazama kwa makini lakini hakukuwa na mtu wala,sasa niliamua kuondoka mle chumbani na nilikiacha wazi kama alivyokuwa ameniambia Ally.

Niliwasha taa za nje ya ile nyumba kisha nikafunga mlango,niliondoka zangu usiku ule kuelekea kutafuta chakula ili nile nirudi kulala kama kawaida kwenye gari ambalo Ally Mpemba aliniambia ninapaswa kulitumia kama kitanda.Baada ya kupata chakula,niliamua kurudi kwenda kulala ili asubuhi na mapema niamke niende kukifunga kile chumba,kiukweli sikutaka kumuangusha Ally Mpemba na nilitaka aniamini ili kama kuna mambo makubwa zaidi anionyeshe ili na mimi niweze kufanikiwa.

Wakati natoka kupata msosi ilikuwa mida ya saa 3,sasa nikaona niingie kwenye gari niweze kulala,kwakuwa funguo ya gari alikuwa ameniachia,nilipoingia kwenye gari niliwasha AC ili niendelee kupata kiyoyozi huku nikiutafuta usingizi,nilishusha kiti cha dereva kwa kurudi nyuma kisha nikaanza kuusaka usingizi,sasa wakati nikiwa nimepitiwa na usingizi nilishitushwa ghafla na mlio wa vitu vikiwa vinatupwa mle ndani kwenye nyumba ya Ally Mpemba.

Niliamka na taratibu na kutega sikio kwa makini ili nijiridhishe yawezekana nilisikia vibaya,ile sauti iliendelea na ndipo nikatelemka kwenye ile gari nikaelekea mlangoni kutega sikio vizuri,nilipofika pale mlangoni niliendelea kusikia glass,sufuria za kupikia pamoja na vyombo vingine vikitupwa chini kama vile kulikuwa na watu wanapigana,kiukweli niliingiwa na hali ya hofu sana ikabidi nirudi kwenye gari.Nilichukua simu nikawa namtafuta Ally Mpemba lakini simu yake haikupazikana,niliendelea kumtafuta sana lakini simu yake haikupatikana,sasa niliamua nikae kwenye gari nisitoke hadi asubuhi,muda huo ilikuwa yapata saa 7 usiku,sasa ile hali ya kutupa vitu iliendelea hadi ilipotimu mida ya saa 10 usiku,kiukweli sikupata usingizi hata kidogo na nilikuwa najiuliza kulikuwa na kitu gani mle ndani hadi vyombo kupigizwa kiasi kile,japo nilikuwa jasiri katika mambo mengi ambayo niliwahi kuyapitia lakini kwa mara ya kwanza ile hali ilinitisha sana.

Iilipofika mida ya 12 :00 nilienda kufungua ule mlango kwa umakini mkubwa kisha nikaingia ndani,nilipoingia ndani nikawasha taa ili niweze kutazama vizuri kwasababu kulikuwa bado na giza,sasa ile nimewasha taa na kutazama vizuri,nilikuta uaribifu wa kiwango cha juu sana,kiukweli nimepitia mambo mengi ya kutisha na kushangaza lakini lile tukio lilikuwa ni moja ya matukio yaliyonishangaza sana kwa ile siku.

Nilikuta vyombo vimepigizwa chini kila mahali,glass zilikuwa zimevunjwa vunjwa pale sebuleni hadi jikoni kulikuwa hakutamaniki,kiukweli sikuweza kufahamu ni kitu gani kilikuwa kimefanya uaharibifu kiasi kile.Nilisogea hadi kwenye kile chumba na safari hii sikutaka kabisa kichungulia ndani ilibidi nikifinge haraka.

Baada ya kufunga kile chumba nilitoka nje nikafunga mlango kisha nikarudi kwenye gari kwanza kutulia,kiukweli nilikuwa nina maswali mengi sana ambayo nilikuwa najiuliza lakini sikuwa na majibu.Nilikaa kwenye ile gari hadi mida ya saa 2 asubuhi ndipo nikatoka nikaelekea kwenye bomba kunawa uso na kusukutua maji mdomoni na baada ya hapo nikafunga geti nikaondoka zangu kuelekea ofisini Buguruni kwenye kikao.Kikao kilivyoisha nikaondoka kuelekea Kkoo kazini kama kawaida.

Kwa muda huo yule dada yake na Ally Mpemba aliyekuwa akiitwa Farah hakuwahi kujua kabisa kwa wakati huo kama mimi na Ally tulikuwa tumeshibana kiasi kwamba mpaka Ally kuniachia funguo za nyumba yake,sasa wakati Ally ameondoka,ile Range ilikuwa imepaki nyumbani kwake.

Ilipofika mida ya saa 5 asubuhi simu yangu ikawa inaita na nilipoitazama alikuwa ni Ally akinipigia,niliipokea ile simu kisha akawa ananiuliza maendeleo tangu alipoondoka.

Ally Mpemba "Unaendelea vema lakini wewe?"

Mimi "Kaka naendelea vema lakini jana kuna jambo limetokea pale kwako!"

Ally Mpemba "Usiniambie umefanya ambacho sikukuelekeza"

Mimi "Hapana kaka siyo hivyo"

Ally Mpemba "Mmmh ni nin!,ama umeshindwa nilichokwambia?"


Mimi "Kaka jana wakati nimelala kwenye gari nilikuwa nasikia vitu vinatupwa chini na glass kuvunjwa,nilipoingia ndani asubuhi wakati naenda kufunga mlango nikakuta vyombo vimetapakaa sebuleni hadi Jikoni kaka"

Ally Mpemba "Mtumeeeee!"

Aliendelea "Hiyo TV haijavunjwa kweli?"

Mimi "Hapana kaka,samani za ndani ziko vizuri,vyombo vyote ndo vimetapakaa ndani?"

Ally Mpemba "Umefunga mlango?"

Mimi "Ndiyo kaka nimefunga kama ulivyoniambia"

Ally Mpemba "Vyombo je umevipanga?"

Mimi "Hapana kaka sijagusa kitu maana hukunipa maelekezo mengine zaidi ya yale ya juzi"

Ally Mpemba "Bado uko hapo nyumbani?"

Mimi "Hapana kaka mimi nipo Kkoo"

Ally Mpemba "Ok nakuomba niuazime muda wako master na nitakufidia nikirudi,nakuomba uende sokoni ukanunue kabeji kubwa tano,nunua na mboga za majani kisha nenda nyumbani uingie jikoni ufungue kabati lililoko karibu na friji kwa chini utakuta kitambaa cheupe,hicho kitambaa katandike pale sebuleni juu la ile meza ya kioo na kisha weka hayo mahitaji utakayokuwa umenunua!"

Mimi "Sawa kaka hakuna tatizo"

Ally Mpemba "Nilisahau kukwambia nilivyoondoka,nisamehe sana kaka"

Mimi "Usijali kaka,hizo mboga za majani ni aina gani?"

Ally Mpemba "Nunua zozote kaka ila ziwe za kutosha"

Mimi "Sawa kaka usijali"

Ally Mpemba "Farah hajakuuliza kitu kuhusu mimi?"

Mimi "Hapana kaka,kwanza huwa sinaga stori na mtu kaka mwenyewe unanijua"

Ally Mpemba "Nitakulipa mambo makubwa master kwani wewe ni muaminifu sana,nashukuru sana kwa kuwa muaminifu kwangu?"

Mimi "Usijali kaka!"

Ally Mpemba "Ngoja nimpigie simu Farah kuna hela nimwambie akupe halafu mimi nitamrudishia"

Mimi "Sawa"

Niliamua kufunga na kurudisha meza kule ambapo mara zote nimekuwa nikihifahdi ninapomaliza kazi,sasa nikiwa njiani napeleka kuhifadhi vifaa vyangu vya kazi,Ally Mpemba alinipigia simu.

Ally Mpemba "Nimemwambia Farah akupe elfu 50,itumie hiyo kununua mahitaji hayo niliyokwambia"

Mimi "Sawa kaka Usijali"

Nilirudi hadi kwa Aunt Farah kuchukua kile kiasi cha fedha kisha nikaondoka kuelekea kununua yale mahitaji aliyokuwa ameniambia Ally Mpemba,baada ya kununua mahitaji yote muhimu kama alivyokuwa amenielekeza,nilipanda gari kuelekea Magomeni ambako ndiko alikokuwa akiishi Ally Mpemba,nilipofika nilianza kukusanya vyombo vyote vilivyokuwa chini na vile ambavyo vilikuwa vimepasuka niliamua kuvikusanya na kuviweka kwenye dust bin kule jikoni.

Baada ya kumaliza lile zoezi la kusafisha mle ndani,niliingia jikoni nikafungua ile kabati aliyokuwa amenielekeza jamaa kisha nikatoa kitamabaa cheupe nikaenda kukitandika kwenye ile meza kama alivyokuwa amenielekeza,nilipomaliza kukitandika kile kitambaa nilichukua zile kabeji kubwa 5 pamoja na yale mafungu ya mboga za majani nakiyaweka pale mezani,mboga za majani nilinunua za kutosha na nilinunua na aina karibia zote kasoro matembele!.

Baada ya kumaliza lile zoezi kwa kuwa ilikuwa mapema,niliondoka kuelekea Gongo la Mboto kuoga na kubadili nguo,nilipofika niliamua kulala kabisa kwasababu nilikuwa nina usingizi wa kufa mtu.
Ilipofika mida ya saa 11 jioni niliamua kuondoka kutembea mdogo mdogo hadi stendi ya Gongo la Mboto kisha nikapanda gari za Masaki ili nikashukie Magomeni kisha nielekea kwa Ally Mpemba.

Nilipofika nilifungua mlango nikaingia hadi ndani,sasa kwakuwa muda wa kufungua ule mlango ulikuwa bado kidogo,niliona niwashe Luninga ili niendelee kupoteza muda,sasa wakati nikiwa natazama luninga,kule kwenye kile chumba nikawa nasikia sauti yenye mtetemo.


Itaendelea........
Mdogo mdogo utazoea.. tu.,,,,
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 12.




Alinikabidhi rasmi funguo wa ile nyumba pamoja kiasi cha Tsh 140,000/= ikiwa na maana ya kwamba kila siku nitakapokuwa hapo nyumbani kwake,basi itanipasa kutumia elfu 20 kwa ajili ya chakula cha usiku,aliniambia sipaswi kabisa kurudi nyumbani kwa muda huo atakao kuwa ametoka.Kabla hajaondoka alinionyesha gari miongoni mwa magari mawili mapya yaliyokuwa yamepaki pale ndani ya fensi.

Kulikuwa na magari mawili mapya,moja lilikuwa Audi A4 nyeusi isiyokuwa na Number Plate na nyingine ilikuwa ni Mercedes benz C63 nyeupe,hii pia haikuwa na Number Plate,hizi gari zite zilikuwa na mpya kabisa.Jamaa aliniambia mimi ninapaswa kuwa nalala kwenye Audi A4.

Baada ya yale maelekezo huku akionyesha uaminifu mkubwa kwangu Ally Mpemba alisafiri kuelekea huko Unguja kama alivyokuwa ameniambia hapo awali.Baada ya jamaa kuondoka,mimi niliendelea na shughuli zangu za usajili wa line kama kawaida na ilipofika mida ya saa 12 jioni niliondoka zangu kupanda gari kuelekea nyumbani kwa Ally Mpemba.

Nilifanikiwa kufika nyumbani kwa Ally Mpemba kabla ya saa moja,nilisukuma geti nikaingia ndani kisha nikalirudishia,sasa nilisogea moja kwa moja hadi kwenye mlango mkubwa wa kuingilia ndani,nilifungua ule mlango na kuzama ndani,nilipofika ndani nilianza kuikagua ile nyumba lakini vyumba vyote nilikuta vimefungwa na yawezekana funguo atakuwa alikuwa ameondoka nazo au aliziweka mahali,chumba ambacho nilikuwa na funguo zake ni kile alichonipa kazi ya kukifungua na kukifunga!.Ile nyumba ilikuwa ni kubwa na ilikuwa niya kifahari,ulikuwa ukiingia ndani kulikuwa na nakshinakshi za gharama kubwa(Nadhani nyumba za waarabu au wahindi huwa mnaelewa zinavyokuwaga).

Ile nyumba ulikuwa ukiiangalia kwa nje ilionekana ya kawaida tu ila kwa ndani ilikuwa nzuri sana na usingeamini kama pale anaishi mtu mmoja.

Ilipofika mida ya saa 1 usiku nilienda mpaka kwenye kile chumba nikakifungua na kiukweli sikuweza kuvumilia ilibidi nisogeze shingo karibu na mlango,niliwasha taa kutazama ndani,nilipotazama ndani nilikuta kuna kitanda ambacho kilikuwa kimetandikwa kwa unadhifu wa hali ya juu,pia kulikuwa na makabati ya nguo pamoja na vitu vingine vya kawaida ambavyo huwa vinapatikana vyumbani.Niendelea kutazama kwa makini lakini hakukuwa na mtu wala,sasa niliamua kuondoka mle chumbani na nilikiacha wazi kama alivyokuwa ameniambia Ally.

Niliwasha taa za nje ya ile nyumba kisha nikafunga mlango,niliondoka zangu usiku ule kuelekea kutafuta chakula ili nile nirudi kulala kama kawaida kwenye gari ambalo Ally Mpemba aliniambia ninapaswa kulitumia kama kitanda.Baada ya kupata chakula,niliamua kurudi kwenda kulala ili asubuhi na mapema niamke niende kukifunga kile chumba,kiukweli sikutaka kumuangusha Ally Mpemba na nilitaka aniamini ili kama kuna mambo makubwa zaidi anionyeshe ili na mimi niweze kufanikiwa.

Wakati natoka kupata msosi ilikuwa mida ya saa 3,sasa nikaona niingie kwenye gari niweze kulala,kwakuwa funguo ya gari alikuwa ameniachia,nilipoingia kwenye gari niliwasha AC ili niendelee kupata kiyoyozi huku nikiutafuta usingizi,nilishusha kiti cha dereva kwa kurudi nyuma kisha nikaanza kuusaka usingizi,sasa wakati nikiwa nimepitiwa na usingizi nilishitushwa ghafla na mlio wa vitu vikiwa vinatupwa mle ndani kwenye nyumba ya Ally Mpemba.

Niliamka na taratibu na kutega sikio kwa makini ili nijiridhishe yawezekana nilisikia vibaya,ile sauti iliendelea na ndipo nikatelemka kwenye ile gari nikaelekea mlangoni kutega sikio vizuri,nilipofika pale mlangoni niliendelea kusikia glass,sufuria za kupikia pamoja na vyombo vingine vikitupwa chini kama vile kulikuwa na watu wanapigana,kiukweli niliingiwa na hali ya hofu sana ikabidi nirudi kwenye gari.Nilichukua simu nikawa namtafuta Ally Mpemba lakini simu yake haikupazikana,niliendelea kumtafuta sana lakini simu yake haikupatikana,sasa niliamua nikae kwenye gari nisitoke hadi asubuhi,muda huo ilikuwa yapata saa 7 usiku,sasa ile hali ya kutupa vitu iliendelea hadi ilipotimu mida ya saa 10 usiku,kiukweli sikupata usingizi hata kidogo na nilikuwa najiuliza kulikuwa na kitu gani mle ndani hadi vyombo kupigizwa kiasi kile,japo nilikuwa jasiri katika mambo mengi ambayo niliwahi kuyapitia lakini kwa mara ya kwanza ile hali ilinitisha sana.

Iilipofika mida ya 12 :00 nilienda kufungua ule mlango kwa umakini mkubwa kisha nikaingia ndani,nilipoingia ndani nikawasha taa ili niweze kutazama vizuri kwasababu kulikuwa bado na giza,sasa ile nimewasha taa na kutazama vizuri,nilikuta uaribifu wa kiwango cha juu sana,kiukweli nimepitia mambo mengi ya kutisha na kushangaza lakini lile tukio lilikuwa ni moja ya matukio yaliyonishangaza sana kwa ile siku.

Nilikuta vyombo vimepigizwa chini kila mahali,glass zilikuwa zimevunjwa vunjwa pale sebuleni hadi jikoni kulikuwa hakutamaniki,kiukweli sikuweza kufahamu ni kitu gani kilikuwa kimefanya uaharibifu kiasi kile.Nilisogea hadi kwenye kile chumba na safari hii sikutaka kabisa kichungulia ndani ilibidi nikifinge haraka.

Baada ya kufunga kile chumba nilitoka nje nikafunga mlango kisha nikarudi kwenye gari kwanza kutulia,kiukweli nilikuwa nina maswali mengi sana ambayo nilikuwa najiuliza lakini sikuwa na majibu.Nilikaa kwenye ile gari hadi mida ya saa 2 asubuhi ndipo nikatoka nikaelekea kwenye bomba kunawa uso na kusukutua maji mdomoni na baada ya hapo nikafunga geti nikaondoka zangu kuelekea ofisini Buguruni kwenye kikao.Kikao kilivyoisha nikaondoka kuelekea Kkoo kazini kama kawaida.

Kwa muda huo yule dada yake na Ally Mpemba aliyekuwa akiitwa Farah hakuwahi kujua kabisa kwa wakati huo kama mimi na Ally tulikuwa tumeshibana kiasi kwamba mpaka Ally kuniachia funguo za nyumba yake,sasa wakati Ally ameondoka,ile Range ilikuwa imepaki nyumbani kwake.

Ilipofika mida ya saa 5 asubuhi simu yangu ikawa inaita na nilipoitazama alikuwa ni Ally akinipigia,niliipokea ile simu kisha akawa ananiuliza maendeleo tangu alipoondoka.

Ally Mpemba "Unaendelea vema lakini wewe?"

Mimi "Kaka naendelea vema lakini jana kuna jambo limetokea pale kwako!"

Ally Mpemba "Usiniambie umefanya ambacho sikukuelekeza"

Mimi "Hapana kaka siyo hivyo"

Ally Mpemba "Mmmh ni nin!,ama umeshindwa nilichokwambia?"


Mimi "Kaka jana wakati nimelala kwenye gari nilikuwa nasikia vitu vinatupwa chini na glass kuvunjwa,nilipoingia ndani asubuhi wakati naenda kufunga mlango nikakuta vyombo vimetapakaa sebuleni hadi Jikoni kaka"

Ally Mpemba "Mtumeeeee!"

Aliendelea "Hiyo TV haijavunjwa kweli?"

Mimi "Hapana kaka,samani za ndani ziko vizuri,vyombo vyote ndo vimetapakaa ndani?"

Ally Mpemba "Umefunga mlango?"

Mimi "Ndiyo kaka nimefunga kama ulivyoniambia"

Ally Mpemba "Vyombo je umevipanga?"

Mimi "Hapana kaka sijagusa kitu maana hukunipa maelekezo mengine zaidi ya yale ya juzi"

Ally Mpemba "Bado uko hapo nyumbani?"

Mimi "Hapana kaka mimi nipo Kkoo"

Ally Mpemba "Ok nakuomba niuazime muda wako master na nitakufidia nikirudi,nakuomba uende sokoni ukanunue kabeji kubwa tano,nunua na mboga za majani kisha nenda nyumbani uingie jikoni ufungue kabati lililoko karibu na friji kwa chini utakuta kitambaa cheupe,hicho kitambaa katandike pale sebuleni juu la ile meza ya kioo na kisha weka hayo mahitaji utakayokuwa umenunua!"

Mimi "Sawa kaka hakuna tatizo"

Ally Mpemba "Nilisahau kukwambia nilivyoondoka,nisamehe sana kaka"

Mimi "Usijali kaka,hizo mboga za majani ni aina gani?"

Ally Mpemba "Nunua zozote kaka ila ziwe za kutosha"

Mimi "Sawa kaka usijali"

Ally Mpemba "Farah hajakuuliza kitu kuhusu mimi?"

Mimi "Hapana kaka,kwanza huwa sinaga stori na mtu kaka mwenyewe unanijua"

Ally Mpemba "Nitakulipa mambo makubwa master kwani wewe ni muaminifu sana,nashukuru sana kwa kuwa muaminifu kwangu?"

Mimi "Usijali kaka!"

Ally Mpemba "Ngoja nimpigie simu Farah kuna hela nimwambie akupe halafu mimi nitamrudishia"

Mimi "Sawa"

Niliamua kufunga na kurudisha meza kule ambapo mara zote nimekuwa nikihifahdi ninapomaliza kazi,sasa nikiwa njiani napeleka kuhifadhi vifaa vyangu vya kazi,Ally Mpemba alinipigia simu.

Ally Mpemba "Nimemwambia Farah akupe elfu 50,itumie hiyo kununua mahitaji hayo niliyokwambia"

Mimi "Sawa kaka Usijali"

Nilirudi hadi kwa Aunt Farah kuchukua kile kiasi cha fedha kisha nikaondoka kuelekea kununua yale mahitaji aliyokuwa ameniambia Ally Mpemba,baada ya kununua mahitaji yote muhimu kama alivyokuwa amenielekeza,nilipanda gari kuelekea Magomeni ambako ndiko alikokuwa akiishi Ally Mpemba,nilipofika nilianza kukusanya vyombo vyote vilivyokuwa chini na vile ambavyo vilikuwa vimepasuka niliamua kuvikusanya na kuviweka kwenye dust bin kule jikoni.

Baada ya kumaliza lile zoezi la kusafisha mle ndani,niliingia jikoni nikafungua ile kabati aliyokuwa amenielekeza jamaa kisha nikatoa kitamabaa cheupe nikaenda kukitandika kwenye ile meza kama alivyokuwa amenielekeza,nilipomaliza kukitandika kile kitambaa nilichukua zile kabeji kubwa 5 pamoja na yale mafungu ya mboga za majani nakiyaweka pale mezani,mboga za majani nilinunua za kutosha na nilinunua na aina karibia zote kasoro matembele!.

Baada ya kumaliza lile zoezi kwa kuwa ilikuwa mapema,niliondoka kuelekea Gongo la Mboto kuoga na kubadili nguo,nilipofika niliamua kulala kabisa kwasababu nilikuwa nina usingizi wa kufa mtu.
Ilipofika mida ya saa 11 jioni niliamua kuondoka kutembea mdogo mdogo hadi stendi ya Gongo la Mboto kisha nikapanda gari za Masaki ili nikashukie Magomeni kisha nielekea kwa Ally Mpemba.

Nilipofika nilifungua mlango nikaingia hadi ndani,sasa kwakuwa muda wa kufungua ule mlango ulikuwa bado kidogo,niliona niwashe Luninga ili niendelee kupoteza muda,sasa wakati nikiwa natazama luninga,kule kwenye kile chumba nikawa nasikia sauti yenye mtetemo.


Itaendelea........
Ndugu zetu waarabu ni wazuri katika ndumba, kwenye nyumba zao huwezi kukosa ndugu mwenye matatizo ya akili
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 12.




Alinikabidhi rasmi funguo wa ile nyumba pamoja kiasi cha Tsh 140,000/= ikiwa na maana ya kwamba kila siku nitakapokuwa hapo nyumbani kwake,basi itanipasa kutumia elfu 20 kwa ajili ya chakula cha usiku,aliniambia sipaswi kabisa kurudi nyumbani kwa muda huo atakao kuwa ametoka.Kabla hajaondoka alinionyesha gari miongoni mwa magari mawili mapya yaliyokuwa yamepaki pale ndani ya fensi.

Kulikuwa na magari mawili mapya,moja lilikuwa Audi A4 nyeusi isiyokuwa na Number Plate na nyingine ilikuwa ni Mercedes benz C63 nyeupe,hii pia haikuwa na Number Plate,hizi gari zite zilikuwa na mpya kabisa.Jamaa aliniambia mimi ninapaswa kuwa nalala kwenye Audi A4.

Baada ya yale maelekezo huku akionyesha uaminifu mkubwa kwangu Ally Mpemba alisafiri kuelekea huko Unguja kama alivyokuwa ameniambia hapo awali.Baada ya jamaa kuondoka,mimi niliendelea na shughuli zangu za usajili wa line kama kawaida na ilipofika mida ya saa 12 jioni niliondoka zangu kupanda gari kuelekea nyumbani kwa Ally Mpemba.

Nilifanikiwa kufika nyumbani kwa Ally Mpemba kabla ya saa moja,nilisukuma geti nikaingia ndani kisha nikalirudishia,sasa nilisogea moja kwa moja hadi kwenye mlango mkubwa wa kuingilia ndani,nilifungua ule mlango na kuzama ndani,nilipofika ndani nilianza kuikagua ile nyumba lakini vyumba vyote nilikuta vimefungwa na yawezekana funguo atakuwa alikuwa ameondoka nazo au aliziweka mahali,chumba ambacho nilikuwa na funguo zake ni kile alichonipa kazi ya kukifungua na kukifunga!.Ile nyumba ilikuwa ni kubwa na ilikuwa niya kifahari,ulikuwa ukiingia ndani kulikuwa na nakshinakshi za gharama kubwa(Nadhani nyumba za waarabu au wahindi huwa mnaelewa zinavyokuwaga).

Ile nyumba ulikuwa ukiiangalia kwa nje ilionekana ya kawaida tu ila kwa ndani ilikuwa nzuri sana na usingeamini kama pale anaishi mtu mmoja.

Ilipofika mida ya saa 1 usiku nilienda mpaka kwenye kile chumba nikakifungua na kiukweli sikuweza kuvumilia ilibidi nisogeze shingo karibu na mlango,niliwasha taa kutazama ndani,nilipotazama ndani nilikuta kuna kitanda ambacho kilikuwa kimetandikwa kwa unadhifu wa hali ya juu,pia kulikuwa na makabati ya nguo pamoja na vitu vingine vya kawaida ambavyo huwa vinapatikana vyumbani.Niendelea kutazama kwa makini lakini hakukuwa na mtu wala,sasa niliamua kuondoka mle chumbani na nilikiacha wazi kama alivyokuwa ameniambia Ally.

Niliwasha taa za nje ya ile nyumba kisha nikafunga mlango,niliondoka zangu usiku ule kuelekea kutafuta chakula ili nile nirudi kulala kama kawaida kwenye gari ambalo Ally Mpemba aliniambia ninapaswa kulitumia kama kitanda.Baada ya kupata chakula,niliamua kurudi kwenda kulala ili asubuhi na mapema niamke niende kukifunga kile chumba,kiukweli sikutaka kumuangusha Ally Mpemba na nilitaka aniamini ili kama kuna mambo makubwa zaidi anionyeshe ili na mimi niweze kufanikiwa.

Wakati natoka kupata msosi ilikuwa mida ya saa 3,sasa nikaona niingie kwenye gari niweze kulala,kwakuwa funguo ya gari alikuwa ameniachia,nilipoingia kwenye gari niliwasha AC ili niendelee kupata kiyoyozi huku nikiutafuta usingizi,nilishusha kiti cha dereva kwa kurudi nyuma kisha nikaanza kuusaka usingizi,sasa wakati nikiwa nimepitiwa na usingizi nilishitushwa ghafla na mlio wa vitu vikiwa vinatupwa mle ndani kwenye nyumba ya Ally Mpemba.

Niliamka na taratibu na kutega sikio kwa makini ili nijiridhishe yawezekana nilisikia vibaya,ile sauti iliendelea na ndipo nikatelemka kwenye ile gari nikaelekea mlangoni kutega sikio vizuri,nilipofika pale mlangoni niliendelea kusikia glass,sufuria za kupikia pamoja na vyombo vingine vikitupwa chini kama vile kulikuwa na watu wanapigana,kiukweli niliingiwa na hali ya hofu sana ikabidi nirudi kwenye gari.Nilichukua simu nikawa namtafuta Ally Mpemba lakini simu yake haikupazikana,niliendelea kumtafuta sana lakini simu yake haikupatikana,sasa niliamua nikae kwenye gari nisitoke hadi asubuhi,muda huo ilikuwa yapata saa 7 usiku,sasa ile hali ya kutupa vitu iliendelea hadi ilipotimu mida ya saa 10 usiku,kiukweli sikupata usingizi hata kidogo na nilikuwa najiuliza kulikuwa na kitu gani mle ndani hadi vyombo kupigizwa kiasi kile,japo nilikuwa jasiri katika mambo mengi ambayo niliwahi kuyapitia lakini kwa mara ya kwanza ile hali ilinitisha sana.

Iilipofika mida ya 12 :00 nilienda kufungua ule mlango kwa umakini mkubwa kisha nikaingia ndani,nilipoingia ndani nikawasha taa ili niweze kutazama vizuri kwasababu kulikuwa bado na giza,sasa ile nimewasha taa na kutazama vizuri,nilikuta uaribifu wa kiwango cha juu sana,kiukweli nimepitia mambo mengi ya kutisha na kushangaza lakini lile tukio lilikuwa ni moja ya matukio yaliyonishangaza sana kwa ile siku.

Nilikuta vyombo vimepigizwa chini kila mahali,glass zilikuwa zimevunjwa vunjwa pale sebuleni hadi jikoni kulikuwa hakutamaniki,kiukweli sikuweza kufahamu ni kitu gani kilikuwa kimefanya uaharibifu kiasi kile.Nilisogea hadi kwenye kile chumba na safari hii sikutaka kabisa kichungulia ndani ilibidi nikifinge haraka.

Baada ya kufunga kile chumba nilitoka nje nikafunga mlango kisha nikarudi kwenye gari kwanza kutulia,kiukweli nilikuwa nina maswali mengi sana ambayo nilikuwa najiuliza lakini sikuwa na majibu.Nilikaa kwenye ile gari hadi mida ya saa 2 asubuhi ndipo nikatoka nikaelekea kwenye bomba kunawa uso na kusukutua maji mdomoni na baada ya hapo nikafunga geti nikaondoka zangu kuelekea ofisini Buguruni kwenye kikao.Kikao kilivyoisha nikaondoka kuelekea Kkoo kazini kama kawaida.

Kwa muda huo yule dada yake na Ally Mpemba aliyekuwa akiitwa Farah hakuwahi kujua kabisa kwa wakati huo kama mimi na Ally tulikuwa tumeshibana kiasi kwamba mpaka Ally kuniachia funguo za nyumba yake,sasa wakati Ally ameondoka,ile Range ilikuwa imepaki nyumbani kwake.

Ilipofika mida ya saa 5 asubuhi simu yangu ikawa inaita na nilipoitazama alikuwa ni Ally akinipigia,niliipokea ile simu kisha akawa ananiuliza maendeleo tangu alipoondoka.

Ally Mpemba "Unaendelea vema lakini wewe?"

Mimi "Kaka naendelea vema lakini jana kuna jambo limetokea pale kwako!"

Ally Mpemba "Usiniambie umefanya ambacho sikukuelekeza"

Mimi "Hapana kaka siyo hivyo"

Ally Mpemba "Mmmh ni nin!,ama umeshindwa nilichokwambia?"


Mimi "Kaka jana wakati nimelala kwenye gari nilikuwa nasikia vitu vinatupwa chini na glass kuvunjwa,nilipoingia ndani asubuhi wakati naenda kufunga mlango nikakuta vyombo vimetapakaa sebuleni hadi Jikoni kaka"

Ally Mpemba "Mtumeeeee!"

Aliendelea "Hiyo TV haijavunjwa kweli?"

Mimi "Hapana kaka,samani za ndani ziko vizuri,vyombo vyote ndo vimetapakaa ndani?"

Ally Mpemba "Umefunga mlango?"

Mimi "Ndiyo kaka nimefunga kama ulivyoniambia"

Ally Mpemba "Vyombo je umevipanga?"

Mimi "Hapana kaka sijagusa kitu maana hukunipa maelekezo mengine zaidi ya yale ya juzi"

Ally Mpemba "Bado uko hapo nyumbani?"

Mimi "Hapana kaka mimi nipo Kkoo"

Ally Mpemba "Ok nakuomba niuazime muda wako master na nitakufidia nikirudi,nakuomba uende sokoni ukanunue kabeji kubwa tano,nunua na mboga za majani kisha nenda nyumbani uingie jikoni ufungue kabati lililoko karibu na friji kwa chini utakuta kitambaa cheupe,hicho kitambaa katandike pale sebuleni juu la ile meza ya kioo na kisha weka hayo mahitaji utakayokuwa umenunua!"

Mimi "Sawa kaka hakuna tatizo"

Ally Mpemba "Nilisahau kukwambia nilivyoondoka,nisamehe sana kaka"

Mimi "Usijali kaka,hizo mboga za majani ni aina gani?"

Ally Mpemba "Nunua zozote kaka ila ziwe za kutosha"

Mimi "Sawa kaka usijali"

Ally Mpemba "Farah hajakuuliza kitu kuhusu mimi?"

Mimi "Hapana kaka,kwanza huwa sinaga stori na mtu kaka mwenyewe unanijua"

Ally Mpemba "Nitakulipa mambo makubwa master kwani wewe ni muaminifu sana,nashukuru sana kwa kuwa muaminifu kwangu?"

Mimi "Usijali kaka!"

Ally Mpemba "Ngoja nimpigie simu Farah kuna hela nimwambie akupe halafu mimi nitamrudishia"

Mimi "Sawa"

Niliamua kufunga na kurudisha meza kule ambapo mara zote nimekuwa nikihifahdi ninapomaliza kazi,sasa nikiwa njiani napeleka kuhifadhi vifaa vyangu vya kazi,Ally Mpemba alinipigia simu.

Ally Mpemba "Nimemwambia Farah akupe elfu 50,itumie hiyo kununua mahitaji hayo niliyokwambia"

Mimi "Sawa kaka Usijali"

Nilirudi hadi kwa Aunt Farah kuchukua kile kiasi cha fedha kisha nikaondoka kuelekea kununua yale mahitaji aliyokuwa ameniambia Ally Mpemba,baada ya kununua mahitaji yote muhimu kama alivyokuwa amenielekeza,nilipanda gari kuelekea Magomeni ambako ndiko alikokuwa akiishi Ally Mpemba,nilipofika nilianza kukusanya vyombo vyote vilivyokuwa chini na vile ambavyo vilikuwa vimepasuka niliamua kuvikusanya na kuviweka kwenye dust bin kule jikoni.

Baada ya kumaliza lile zoezi la kusafisha mle ndani,niliingia jikoni nikafungua ile kabati aliyokuwa amenielekeza jamaa kisha nikatoa kitamabaa cheupe nikaenda kukitandika kwenye ile meza kama alivyokuwa amenielekeza,nilipomaliza kukitandika kile kitambaa nilichukua zile kabeji kubwa 5 pamoja na yale mafungu ya mboga za majani nakiyaweka pale mezani,mboga za majani nilinunua za kutosha na nilinunua na aina karibia zote kasoro matembele!.

Baada ya kumaliza lile zoezi kwa kuwa ilikuwa mapema,niliondoka kuelekea Gongo la Mboto kuoga na kubadili nguo,nilipofika niliamua kulala kabisa kwasababu nilikuwa nina usingizi wa kufa mtu.
Ilipofika mida ya saa 11 jioni niliamua kuondoka kutembea mdogo mdogo hadi stendi ya Gongo la Mboto kisha nikapanda gari za Masaki ili nikashukie Magomeni kisha nielekea kwa Ally Mpemba.

Nilipofika nilifungua mlango nikaingia hadi ndani,sasa kwakuwa muda wa kufungua ule mlango ulikuwa bado kidogo,niliona niwashe Luninga ili niendelee kupoteza muda,sasa wakati nikiwa natazama luninga,kule kwenye kile chumba nikawa nasikia sauti yenye mtetemo.


Itaendelea........
Duh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa umecheka au umefanyeje ?
 
Back
Top Bottom