Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,468
- 2,349
Hakuwahi kufika Chumbe...Nimeishia hapa
Baada ya wiki kama mbili tulijiandaa na jamaa akawa mwenyeji wangu kuelekea kisiwa cha Chumbe Unguja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuwahi kufika Chumbe...Nimeishia hapa
Baada ya wiki kama mbili tulijiandaa na jamaa akawa mwenyeji wangu kuelekea kisiwa cha Chumbe Unguja.
ilikua hivyo mkuu utoto tena ila lilikua funzo tosha na hao wanyamaUlijifungia na paka ndani ili umuue! Usirudie tena mkuu tutakupoteza
kuna moja lilikua kubwa hilo orange,lina wivu balaa kila nikienda kutafuna mbususu basi litantia ubusy usio na maendeleo.Unaweka neti ila unailegeza analala nje ya neti, tena siku nsipoweka neti nkuta pembeni yangu katulia ila akiamka na anataka attention ujue utaamka tu🤣🤣🤣
Punguza kujielezaAcha mikwara bubu wewe, hapa utarudi kesho tena kuangalia mwendelezo.
Huu uzi sasa umefikia karibi watu laki 6 (600,000) wameusoma. UMUGHAKA anavuta vuta watu wajae kuusoma, sababu ni furaha kwa mwandishi kuona andiko lake linafika machoni pa watu wengi.
Ni kweli unachokisema ila naongelea paka ambae niwa ndani tu, actually me nafuga mbwa na paka ni washkaji kiroho safi kwahiyo haina haja ya kuparamia MitiUaimkate kucha atashindwa kupanda juu ya mti hasa bahati mbaya akitoka nje na wewe haupo na unafuga mbwa pia utakuta maiti
Kwakua wako ni in door tu sawa mi wangu anatoja hadi nje na kucheza hasa mida ya mchana kwaio siwezi kumkata kucha hayo mambo ya kunoa kucha anafanyia huko njeNi kweli unachokisema ila naongelea paka ambae niwa ndani tu, actually me nafuga mbwa na paka ni washkaji kiroho safi kwahiyo haina haja ya kuparamia Miti
Paka waga ana tabia ya Ku scartch vitu ili kuweka harufu yao,kunoa kucha,kuonesha hisia zao nk, kwahiyo kama humkati kucha atakuwa anaharibu vitu vingi kwa kukwangua hivo kama ni paka wa ndani itafika hatua utamkata tu kucha now way out
Paka kama anashiba hali wadudu ila akiwa anawachezea ukiangalia unaishia kucheka tu, paka are so cute and entertainingKwanin hali mende?au wadudu
Nilimkuta wangu anacheza na mende nje nilijua atamla hakumla
Faida yake ni kwamba hakuna hasara kuzaaMkuu Kwa upande wangu mie sijui faida za kuzaa ndomana nikaomba msaada wako, kama hutojali Naomba unijuze namie kuna faida gani unaipata ukizaa?
Kwahiyo hapo ni sawa na Mandonga mtu kazi "akipigwa ni kama kapiga na akipiga kapiga"Faida yake ni kwamba hakuna hasara kuzaa
OkKwakua wako ni in door tu sawa mi wangu anazota hadi nje na kucheza hasa mida ya mchana kwaio siwezi kumkata kucha hayo mambo ya kunoa kucha anafanyia huko nje
Hata kama ana njaa hali anaringa Yaan Pia simpi nyama mbichi nampa ya kupikaPaka kama anashiba ahili wadudu ila akiwa anawachezea ukiangalia unaishia kucheka tu, paka are so cute and entertaining
We ulitaka kuumia,paka ni mnyama mmoja hatar sana,sio wa kujifungia nae ndani akiwa amekasirikaLabda,mi nilibeba gongo km la kuchezea golf nikajua pigo moja tu ataundee.
Nikafunga mlango
Aah wapi alikwepa zote,na kuna mda aliruka akanasa juu ukutani akajiachia akaruka huku ananiface usoni kucha miguu zinakuja machoni sijui nilikwepaje,ila.nilifungua mlango mwenyewe aondoke.
Aligoma ,akahama badae sana baada kuona nimemchunia