Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Niwe mkweli napenda sana paka na Mbwa
Ni wanyama wazuri sana wasipojichanganya.
Nilifuga wote utotoni.
Mbwa wangu aliitwa Obi aisee yule Mbwa bishoo msafi haswa.
Palikua patamu huko Obi mara kafumaniwa kapewa kibano,huku paka linda nae anapelekewa moto mpk mipaka mibasha zake inakuja kumgombea pale home.
Full vurugu
 
Ni wanyama wazuri sana wasipojichanganya.
Nilifuga wote utotoni.
Mbwa wangu aliitwa Obi aisee yule Mbwa bishoo msafi haswa.
Palikua patamu huko Obi mara kafumaniwa kapewa kibano,huku paka linda nae anapelekewa moto mpk mipaka mibasha zake inakuja kumgombea pale home.
Full vurugu
🤣🤣🤣🤣🤣Mbwa wangu aiitwa Rasco jeusiiii lina vidoa juu ya macho🐕
 
kuna moja lilikua kubwa hilo orange,lina wivu balaa kila nikienda kutafuna mbususu basi litantia ubusy usio na maendeleo.
sasa unakuta uko katikati ya game linagonga mlango linafungua linazama ndani myaoo,myaooo
linarukia kitandani linakaa katikati myaaaoo.
mpaka kulitoa
stimu inakata kabisa
Ashakufa,rip orange🙁
Yaani uchomoe kwenda kumfungulia paka mlango ukirudi kitandani utaendelea na huyo orange wako🙄
 
Back
Top Bottom