leadermoe
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 1,392
- 4,588
Mpaka mechi iishe si unajua ni mwananchi yule[emoji41]Moja kasoro hii bilabila......duh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka mechi iishe si unajua ni mwananchi yule[emoji41]Moja kasoro hii bilabila......duh!!
Aiseeehhh??? kumbe kuna mechi huko mjini??? Hata Sijuiiiiii😎Mpaka mechi iishe si unajua ni mwananchi yule[emoji41]
SabatooMoja kasoro hii bilabila......duh!!
Ndo hvoKhaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Tobaa
Mbona tutavunjika mikono sasa jamani lol!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nshakuwa na mchuchu mkurya so nawajua sana.Una uhakika[emoji28][emoji28]
Kama ulikuwepo!arsenal imefungwa leo sijui kama jamaa atatupia
Wewe unapenda nini maishani?Aiseeehhh??? kumbe kuna mechi huko mjini??? Hata Sijuiiiiii[emoji41]
Ni huyo wako tu na tabia zake. Hawako hivyo kabisa mamaNshakuwa na mchuchu mkurya so nawajua sana.
Kwanza anaweza kukuacha kwakuwa tu rafiki yake hakukubali
Mpira wa kuwatch live...!Wewe unapenda nini maishani?
Utanitag mkuu saivi nasinziaMpira wa kuwatch live...!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa hili jibu nimepigwa na kitu kizito.Mpira wa kuwatch live...!
Hahahaaa.. ulikua unawaza nini Kwani??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwa hili jibu nimepigwa na kitu kizito.
Sawa mkuu akitupia nikiwepo ila nami Ntaenda kulala muda si mrefuUtanitag mkuu saivi nasinzia
Hapo kuwatch live, ila hujui kama leo kuna mechiHahahaaa.. ulikua unawaza nini Kwani??
I mean live yani namimi niwepo uwanjani ila sio kuangalia kupitia Tv...Hapo kuwatch live, ila hujui kama leo kuna mechi
Upo sahihi kwa 100%Duuh kabla hujaingia kwenye mapambano lazma ujue kbsa kua wanawake wanaweza kua chanzo cha ww kufeli kwa asilimia 75