Utajiri wa wafanyakazi wa TRA uchunguzwe

Utajiri wa wafanyakazi wa TRA uchunguzwe

Sina Nia mbaya Ila kwa experience na references nilizonazo wafanyakazi wote wa tra wachunguzwe.

Kilichopo TRA ni utajiri wa kutisha wa wafanyakazi wake vijana kwa wazee.

watu wa jamii fulani kurundikana kama wafanyakazi wa TRA pia ichunguzwe.
Siyo TRA tu, kila taasisi ya serikali inayokusanya mapato kuna ufisadi mkubwa. Kuna jamaa wengi mfano TRA wamejenga apartment Dodoma unajiuliza huyu mtumishi wa TRA tena unakuta hana cheo anatoa wapi jeuri ya pesa??? Kuna jamaa mmoja pia alikuwaga TRA miaka hiyo yaani kwa ufupi TRA ni genge la wezi, siku nikiwa rais hakika nitatunga sheria ya kunyonga wala rushwa wote wafe kabisa. Halmashauri ni the same wezi kibao.
 
Wana mishahara mikubwa, wana mikopo ya Bank, SACCOS, VICOBA bado asante za hapa na pale hivi ni vyanzo halali. Mkuu, kila mtu hapa duniani kaandikiwa fungu lake, vumilia tu, mpaji ni Mungu
Hapana ni wezi sana. Tena wana viburi sana kwa kujifanya eti wao wameyepatia maisha. Mbona watu wa Bank Kuu hawana huo ufisadi??? Yaani sehemu ya kwanza kuanza kunyonga mpaka kufa ni wafanyakazi wa TRA.
 
Hapana ni wezi sana. Tena wana viburi sana kwa kujifanya eti wao wameyepatia maisha. Mbona watu wa Bank Kuu hawana huo ufisadi??? Yaani sehemu ya kwanza kuanza kunyonga mpaka kufa ni wafanyakazi wa TRA.
Kila taasisi ina organizational culture yake, watoza ushuru wanalalamikiwa tangu enzi za mwokozi wetu Yesu Kristu
 
Sina Nia mbaya Ila kwa experience na references nilizonazo wafanyakazi wote wa tra wachunguzwe.

Kilichopo TRA ni utajiri wa kutisha wa wafanyakazi wake vijana kwa wazee.

watu wa jamii fulani kurundikana kama wafanyakazi wa TRA pia ichunguzwe.
Huna akili wewe.
Wivu wa kike huo.
Nani achunguze mambo za malaya wa mtaa wa OHIO
 
Sina Nia mbaya Ila kwa experience na references nilizonazo wafanyakazi wote wa tra wachunguzwe.

Kilichopo TRA ni utajiri wa kutisha wa wafanyakazi wake vijana kwa wazee.

watu wa jamii fulani kurundikana kama wafanyakazi wa TRA pia ichunguzwe.
labda maswali kidogo
Umetumia kigezo gani kusema wala Rushwa? Je umetizama watumishi wangapi? Je umeangalia ni muda gani wa utumishi wao?je umeangalia back ground ya mtumishi huyo au hao? je umefatilia kama anamikopo au la? Je umejiuliza mshahara wake upoje? Kuwa mtumishi wa umma hakumaanishi mtu uwe maskini? kuna serving ,loans etc. Sasa unakuta mtu analipwa mathalani 5m kwa mwezi , anaishi nyumba ya familia na gari ni la nyumbani kichwani yupo vizuri je akiwekeza UTT au saccos na kupata mkopo na kuanza nyumba kidogokidogo then anapangisha? au je kama amenunua kiwanja na kaingia mkataba na mtu au watu wajenge after muda fulani wanamuachia mjengo wao wanajenga then ten years au 5 years to come nyumba inakuwa yake ? tuaache wivu . Mimi nikiona mtu anamaendeleo sana nitajitahidi anipe madini kafikaje kuliko tengeneza jungu. Mimi nina watu kibao nawafahamu TRA hawana mali mwanzo nilidhani waongo ila mmoja baada ya kuumwa sana ndiyo nilikuja gundua hata nyumba hakuwa nayo alikuwa chokesti tu. Hivo ukiona mtu anamaendeleo siyo rushwa ndugu na siyo kila mtumishi tra anamali.
 
Hawa watu ni wala rushwa kubwa namba 1 hapa Tanzania, sio kwamba serikali haijui inajua na inawafumbia macho, wana utajiri mwingi wa kutupwa waliouficha maeneo tofautitofauti na kwa majina ya ndugu zao.
Siku moja mzigo wangu ulikamatwa wakaufikisha ofisini kwao, baada ya jitihada flani nikaambiwa nikauchukue mida flani, wee niliwakuta jamaa 3 nyuma ya jengo wanagawana mzigo wa pesa, yani kila mmoja anabeba na mabegi, aisee huenda siku hiyo ningekuwa na silaha ningegeuka muhalifu.
TRA Tanzania
 
Ni kweli magufuli tu ndio aliiweza hii nchi wezi kila kona kama hawa watumishi wa tra ndio usiseme wengi ni matajiri wa kutisha
Imagine kila nyumba inakatwa 2000 ya umeme nchi nzima kila mwez. Bado vocha wanazokata tozo mwigulu atafia kwenye note.

Ila kisukari hakitawaacha na presha juu.

Bado wabunge hawajaomba chapuo lao
 
Sina Nia mbaya Ila kwa experience na references nilizonazo wafanyakazi wote wa tra wachunguzwe.

Kilichopo TRA ni utajiri wa kutisha wa wafanyakazi wake vijana kwa wazee.

watu wa jamii fulani kurundikana kama wafanyakazi wa TRA pia ichunguzwe.
TRA wote ni wezi hata na vishoka wao pale nje wale wote ni wezi tu, cha kushangaza serikali ipo tu kimya
 
Back
Top Bottom