Utajiskiaje?

Utajiskiaje?

Afanye yote ila akimtukana mama yangu labda nisisikie au nisiwepo karibu
 
Hapo pa kuacha kula msosi wa shughuli hapo alafu nyumbani nakuta holla..dah!😥
 
nitajisikia vibaya sana kama ninavyojisikia kusoma hizo “ afu, akho” zako mbona hazina tofauti na hizo “enx” za mwenzio tena bora yeye kamwandikia mtu mmoja wewe umetuandikia malaki ya watu humu.
Ongeza na "kwene" badaya ya kwenye
 
nitajisikia vibaya sana kama ninavyojisikia kusoma hizo “ afu, akho” zako mbona hazina tofauti na hizo “enx” za mwenzio tena bora yeye kamwandikia mtu mmoja wewe umetuandikia malaki ya watu humu.
😅😅😅😅
 
Alizeti,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Niadje wadau, hivi utajiskiaje au utafanyaje endapo ukikutana na situation kama hizi. Umemtumia mtu hela afu anakujibu "enx"

Umemkaribisha rafiki akho kwene kaghetto kwako afu unaenda kuoga ile unarudi unakuta kapanda na viatu kindandani afu anakula alizeti

Unamkuta mshikaji anamtukana mama akho afu mshikaji mbavu kweli. Uko kwene shughuli ya ndugu yako unaacha kula msosi ukitegemea hom uhakika unarudi hom unakuta hola hawajakuhesabia coz walidhani utakula kwene shughuli

Na mambo ka hizo hivi utajiskiaje. Mmii inayoniuma sana iyo ya kumtumia mtu hela afu ajibu "enx" pamoja na maisha yalivo magumu hivi

Hii imenitokea mwenyewe mda sio mfupi ndo ikapelekea mimi kuandika huu uzi

Imeniuma sana
Mambo ya Kukaribishana ayo una mkaribisha na unamwambia mtu ajisikie yupo nyumbani
 
Back
Top Bottom