maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
- Thread starter
- #21
daaaaahKipururu-Magazijuto+Ulimbombo×(Tan x/cos x)=Enx
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daaaaahKipururu-Magazijuto+Ulimbombo×(Tan x/cos x)=Enx
mshikaji mbavu zaidi yakoAfanye yote ila akimtukana mama yangu labda nisisikie au nisiwepo karibu
Mbavu maana yake nini?mshikaji mbavu zaidi yako
mtu alojazia yaani mwenye misuli aina ya wale wabeba vyumaMbavu maana yake nini?
hahaha iyo nayo noma na nusuHapo pa kuacha kula msosi wa shughuli hapo alafu nyumbani nakuta holla..dah!😥
Mawe hakuna? Beto je?mtu alojazia yaani mwenye misuli aina ya wale wabeba vyuma
Kwani yeye kuokota mawe hawezi?Mawe hakuna? Beto je?
Ongeza na "kwene" badaya ya kwenyenitajisikia vibaya sana kama ninavyojisikia kusoma hizo “ afu, akho” zako mbona hazina tofauti na hizo “enx” za mwenzio tena bora yeye kamwandikia mtu mmoja wewe umetuandikia malaki ya watu humu.
Ikishafika hapo tutajua, atanizidi ila pia nitamweka ngeu za kutosha na kummwaga damuKwani yeye kuokota mawe hawezi?
😅😅😅😅nitajisikia vibaya sana kama ninavyojisikia kusoma hizo “ afu, akho” zako mbona hazina tofauti na hizo “enx” za mwenzio tena bora yeye kamwandikia mtu mmoja wewe umetuandikia malaki ya watu humu.
mkuu Nimecheka ila pole Sana .Life is not fair
Hustle+ugumu wa maisha+kumjali mtu= enx
Mambo ya Kukaribishana ayo una mkaribisha na unamwambia mtu ajisikie yupo nyumbaniNiadje wadau, hivi utajiskiaje au utafanyaje endapo ukikutana na situation kama hizi. Umemtumia mtu hela afu anakujibu "enx"
Umemkaribisha rafiki akho kwene kaghetto kwako afu unaenda kuoga ile unarudi unakuta kapanda na viatu kindandani afu anakula alizeti
Unamkuta mshikaji anamtukana mama akho afu mshikaji mbavu kweli. Uko kwene shughuli ya ndugu yako unaacha kula msosi ukitegemea hom uhakika unarudi hom unakuta hola hawajakuhesabia coz walidhani utakula kwene shughuli
Na mambo ka hizo hivi utajiskiaje. Mmii inayoniuma sana iyo ya kumtumia mtu hela afu ajibu "enx" pamoja na maisha yalivo magumu hivi
Hii imenitokea mwenyewe mda sio mfupi ndo ikapelekea mimi kuandika huu uzi
Imeniuma sana