Tafuta fundi magari na muamini nia yako hiyo na umweleze, baadae tafuta gari yeye mjulishe ili muwe wote wakati analikagua,mfanye nae kama vile mnamiliki pamoja hapo utakuwa umewashinda hao wanotaka kukuuzia.Habarini.
Mwezi Huu mwishoni Nataka kutafuta hiace ya Hali Nzuri bila kuagiza starti langu ni gari isiwe imeguswa kwenye Engine, gearbox na vitu vingine.
Naomba kuelewesha Baadhi ya vitu.
(1) utajuaje gari iliyoguswa engine
(2) gearbox
(3)iliyo rudiwa rangi
Nb: nampango nikiipata nimtafute fundi aikague but Kuna changamoto, Wamiliki wengi wanafahamiana na mafundi So NAHITAJI NIPATE UJUZI KUTOKA KWA WADAU.
ASANTE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Kwa ushauri mkuuTafuta fundi magari na muamini nia yako hiyo na umweleze, baadae tafuta gari yeye mjulishe ili muwe wote wakati analikagua,mfanye nae kama vile mnamiliki pamoja hapo utakuwa umewashinda hao wanotaka kukuuzia.
Nipo pia na mpango huo mkuu but naangalie sehemu zote zoteHii ya used hiace sikushauri, zishanfilisi kbs hizi kitu, jichange agiza yako tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya kuagiza Kama upo vizuri kifedha ni nzuri zaidi kuliko kununua kwa mtu.
Kwa nini?mbona zipo nyingi tu barabaraniYa kuagiza Kama upo vizuri kifedha ni nzuri zaidi kuliko kununua kwa mtu.
Tatizo ya kwa mtu kama huna fundi mzuri wa kucheki mfumo unaweza kununua ndio sio, yaani inauzwa kwa sababu ina matatizo.
Na trafiki wapenda rushwa utakuwa mteja wao ukitoka garage kuingia barabarani.Changa agiza japan ,utanunua mkweche na kushinda gereji kuliko barabarani.
ππππππππ watasave hadi namba yako na ukifanya kosa anakutumia tu sms tu "Umepita kwenye taa nyekundu utarusha shuka la mmasai au foronya nikabrashi viatu".Na trafiki wapenda rushwa utakuwa mteja wao ukitoka garage kuingia barabarani.
AjiPange kuagiza jp.ππππππππ watasave hadi namba yako na ukifanya kosa anakutumia tu sms tu "Umepita kwenye taa nyekundu utarusha shuka la mmasai au foronya nikabrashi viatu".
Nimechekaa[emoji23] [emoji23]ππππππππ watasave hadi namba yako na ukifanya kosa anakutumia tu sms tu "Umepita kwenye taa nyekundu utarusha shuka la mmasai au foronya nikabrashi viatu".
Mkuu nakushukuru Sana. But pia Nataka kufanya demo ya kuagiza ili kupima mfuko Kama utatosha.Binafsi nakushauri tafuta gari taratibu bila kupewa presha na madalali au wauzaji ambao wanakwambia mimi nimeamua tu kuipaki, cha msingi ukipata gari kuwa serious anza kukagua Body kwanza yaani usiangalie namba sijui D, C, B ila A sikushauri maana kidogo kianzia B kuendelea zina hadhi yake, binafsi mimi nilinunua Hiace Mkononi mwezi wa5 lkn mpk sasa napeta nayo, nakula50 daily bila hofu, tena ingekuwa naendesha mwenyewe ningekuwa naweka hata80 kwa siku, muhimu kagua
1-Body rangi kama haijarudiwa, 2-Mlango kama unafunguka na kufunga vyema
3- Buti kama inafunga bila kuacha uwazi
4- Kagua siti wasikwambie hizo utashona tu
5-Washa gari sikiliza mlio wa injini kwanza na fungua sehemu ya injini angalia mtetemo wa injini na gari kwa ujumla, hakikisha unafungua mfuniko wa Oil huku gari ikiwa silence uone kama oil itamwagika au lah!
6- Test kwa kuendesha huku angalia ulaini wa steering
7- Check gear kama zinaingia kiulaini au mpk uotee na kama kuna mkwaruza wakati wa kubadili gear
8-Sikilizia mlio wa Diff maana nyingine zinavuma kwaajili ya kuisha kwa bearings
NB, tembeza gari ikiwezekana nenda hata kilometa3 hasa njia za mlima na vumbi na ikiwezekana speed, na upande mlima hata na 5 utashusha angalau mpk3 bila abiria kwa mlima mkali na sio2 au1
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakushukuru Sana. But pia Nataka kufanya demo ya kuagiza ili kupima mfuko Kama utatosha.
Sent using Jamii Forums mobile app