Joasi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 766
- 674
Habarini.
Mwezi Huu mwishoni Nataka kutafuta hiace ya Hali Nzuri bila kuagiza starti langu ni gari isiwe imeguswa kwenye Engine, gearbox na vitu vingine.
Naomba kuelewesha Baadhi ya vitu.
(1) utajuaje gari iliyoguswa engine
(2) gearbox
(3)iliyo rudiwa rangi
Nb: nampango nikiipata nimtafute fundi aikague but Kuna changamoto, Wamiliki wengi wanafahamiana na mafundi So NAHITAJI NIPATE UJUZI KUTOKA KWA WADAU.
ASANTE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi Huu mwishoni Nataka kutafuta hiace ya Hali Nzuri bila kuagiza starti langu ni gari isiwe imeguswa kwenye Engine, gearbox na vitu vingine.
Naomba kuelewesha Baadhi ya vitu.
(1) utajuaje gari iliyoguswa engine
(2) gearbox
(3)iliyo rudiwa rangi
Nb: nampango nikiipata nimtafute fundi aikague but Kuna changamoto, Wamiliki wengi wanafahamiana na mafundi So NAHITAJI NIPATE UJUZI KUTOKA KWA WADAU.
ASANTE.
Sent using Jamii Forums mobile app