Asante mkuu. Naweza kupata mchanuo WA gharama gari ikifika bandalini mpaka kuichukua I mean out of taxe paymentKwa mchanganuo hapo juu itakulazimu uwe na kama Mil.23 mpk kuingia barabarani, lkn ujue kabisa hata hiyo gari ikija mpya na dhumuni ni kufanyia biashara lazima uandae kama 1.8 zaidi kwaajili ya modification ikiwemo Mziki, Siti, na vikolombwezo vingine pia unaweza agiza Manual lkn ikaja ambayo ipo modified
Baada ya hii paymentAsante mkuu. Naweza kupata mchanuo WA gharama gari ikifika bandalini mpaka kuichukua I mean out of taxe payment
Sent using Jamii Forums mobile app