Salih
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 642
- 420
Kwa mchanganuo hapo juu itakulazimu uwe na kama Mil.23 mpk kuingia barabarani, lkn ujue kabisa hata hiyo gari ikija mpya na dhumuni ni kufanyia biashara lazima uandae kama 1.8 zaidi kwaajili ya modification ikiwemo Mziki, Siti, na vikolombwezo vingine pia unaweza agiza Manual lkn ikaja ambayo ipo modified