Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
Kuna uzi nimeuandika Kule intelligence forum lakini nikiingia kwenye account yng ya JF kwenye nyuzi nilizowahi kupost haupo.ila kwenye jukwaa naukuta.hamna coment wala like af chin yake kuna kidude flan cha njano sa ndo sijaelewa hapo mkuu heb nielekeze from ur experienceUkifungiwa uzi wako hutaweza kuuona au kureply
kuna maneno utaandikiwa mkuu
huenda labda wameufunga na kuzuia watu kupostKuna uzi nimeuandika Kule intelligence forum lakini nikiingia kwenye account yng ya JF kwenye nyuzi nilizowahi kupost haupo.ila kwenye jukwaa naukuta.hamna coment wala like af chin yake kuna kidude flan cha njano sa ndo sijaelewa hapo mkuu heb nielekeze from ur experience
Sent using Jamii Forums mobile app