Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
Sory wadau mimi nataka nijue tu kama umeandika thread yako na mods kwa sababu kadhaa wakaufuta au wakauweka pending kwa sababu zao kadhaa.wewe mhusika uliyeandika utajuaje? Anaejua plz anielekeze
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app