Hamad yusuph
Member
- Mar 21, 2024
- 45
- 33
kachanganyikiwa huyo mwacheni hapo alipo anahisi kuchitiwa kisili sasa anataka kujihakikishia kama kweliSamaleko mwandishi!
Tuanze na wewe, tujuze imekuwaje hapo
Kwaiyo utaki kuumwambia ukwel maan utazif kuumia tu ndan yaπ«Kama ni kirisi basi acha ibaki siri,
Hahahahaa ukihis tuβ¦as we utahisje akat uoni dalil zozte kwakEUkihisi tu, ujue tayari.
Hisia ni machale, siyo dalili.Hahahahaa ukihis tuβ¦as we utahisje akat uoni dalil zozte kwakE
Nakazia, 90% ya hisia zozote juu ya Mpenzi(Mke/Mume) umpendae sana huwa ni Sahihi kabisa.Ukihisi tu, ujue tayari.
Mabadiliko ya kawaida yake na tabia. Mfano kuwa busy na simu na siye wewe anayewasiliana naye. Kuwa na muda mrefu zaidi (kuliko awali) wa kujipamba kabla ya kutoka.Utajuaje kama unachitiwa na mpenzi yaan zile stage ambazo za kushtuka kma mpenzi wako
πππππππππ pesa tu ndg yng je km pesa ya kula ndan bad faπ€¬laUkiona anakuomba pesa ujue anachepuka kisirisiri huyo fala
Zingatia maneno yangu mdogo wangu ππππππππππ pesa tu ndg yng je km pesa ya kula ndan bad faπ€¬la
mule mule..... wabishi acha waliwe.Ukiona anakuomba pesa ujue anachepuka kisirisiri huyo fala