Vibaya hivyotunasaidiana
asiporidhika atajua mwenyewe
[emoji122]Ukijua itakusaidia nini?
Tenda wema, nenda zako....
Huwa unaakiliUkijua itakusaidia nini?
Tenda wema, nenda zako....
kwahiyo haina haja ya kujua,Kama anajiigizia mwenyewe, sidhani kama inapaswa kukusumbua.
Wewe sasambua, fika kileleni. Akiigiza kafika basi maana yake hataki kufikishwa.
Mtatuua kha π πHakikisha kunafuka moshi kama ile ulimbo na ulimbombo, tena ukiweka kidole kuwe na moto kama tanuru.
Akisema hajafika na hapo, kaa chini, jipige kifua sema "MIMI NMEAIBISHA HADI UKOO WETU".