Utajuaje kama mwanamke yupo vizuri kitandani? Bro Code imeshuka

Utajuaje kama mwanamke yupo vizuri kitandani? Bro Code imeshuka

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Nyieee
Maswali yenu mnaniletea whatsapp sijapenda kabisa

Ila kuna ukweli huu wa asilimia 200 kwa wanawake

Ukitaka kujua kuwa mwanamke yuko vizuri kitandani, kumjaribu sio lazima umfunue na kumpapasa, mwambie akupikie chakula unachopenda cha kwenu au nchi yako, akipika chakula kizuri na kitamu bro, huyo kitandani ni kamanda

Kama mwanamke hajui kupika, kitandani hayuko vizuri pia vitu vingi hajui,

trust me hii ndio bro code mnatakiwa mtembee nayo wanaume

hamna haja tena ya kushika shika, acha akupikie
 
Back
Top Bottom