Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Nyieee
Maswali yenu mnaniletea whatsapp sijapenda kabisa
Ila kuna ukweli huu wa asilimia 200 kwa wanawake
Ukitaka kujua kuwa mwanamke yuko vizuri kitandani, kumjaribu sio lazima umfunue na kumpapasa, mwambie akupikie chakula unachopenda cha kwenu au nchi yako, akipika chakula kizuri na kitamu bro, huyo kitandani ni kamanda
Kama mwanamke hajui kupika, kitandani hayuko vizuri pia vitu vingi hajui,
trust me hii ndio bro code mnatakiwa mtembee nayo wanaume
hamna haja tena ya kushika shika, acha akupikie
Maswali yenu mnaniletea whatsapp sijapenda kabisa
Ila kuna ukweli huu wa asilimia 200 kwa wanawake
Ukitaka kujua kuwa mwanamke yuko vizuri kitandani, kumjaribu sio lazima umfunue na kumpapasa, mwambie akupikie chakula unachopenda cha kwenu au nchi yako, akipika chakula kizuri na kitamu bro, huyo kitandani ni kamanda
Kama mwanamke hajui kupika, kitandani hayuko vizuri pia vitu vingi hajui,
trust me hii ndio bro code mnatakiwa mtembee nayo wanaume
hamna haja tena ya kushika shika, acha akupikie