Utajuaje kama sehemu uliyopo ni Bush?

Utajuaje kama sehemu uliyopo ni Bush?

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
1.Watu wengi wanajishughulisha na kilimo wanaamka saa 10 alfajiri kwenda mashambani.Pia ng'ombe zinatumika kulima

2.Ni kawaida kukutana na wazee mababu na mabibi

3.Watu wengi wanaongea lugha za makabila

4.Wanawake/wamama wengi wanavaa khanga

5.Ukipanda daladala kwenda Town mfano ahsubuhi unapanda na watu wanaopakia matenga ya mazao wanayotoka kuyanunua ili wakayauze huko waendako

6.Kujaa kwa nyumba za tope

7. Wenyeviti wa mitaa,vitongoji/ vijiji wanaogopeka kana kwamba ndio Marais

8.Kukitokea Msiba wanatangaza na vipaza sauti

9.Wasichana wengi wadogo kuwa na watoto pia wanawake wengi kubeba watoto migongoni

10.Watoto wengi kutomaliza la saba au wakimaliza hawaendelei.

11.Vikosi vya ng'ombe vinapita kwa wingi vikipelekwa machungani hasa ile ming'ombe yenye nundu

12.Nyumba kuwa na vyoo vya nje hasa vile vya shimo

Nitaongezea mengine kadri nitakavyokuwa nayasoma mazingira ya huku bushi nawe waweza kuongezea yako unayoyafahamu kuhusu mbwinde.
 
1.Watu wengi wanajishughulisha na kilimo wanaamka saa 10 alfajiri kwenda mashambani.Pia ng'ombe zinatumika kulima
2.Ni kawaida kukutana na wazee mababu na mabibi
3.Watu wengi wanaongea lugha za makabila
4.Wanawake/wamama wengi wanavaa khanga
5.Ukipanda daladala kwenda Town mfano ahsubuhi unapanda na watu wanaopakia matenga ya mazao wanayotoka kuyanunua ili wakayauze huko waendako
6.Kujaa kwa nyumba za tope
7.Wenyeviti wa mitaa,vitongoji/vijiji wanaogopeka Kana kwamba ndio ma-Rais
8.Kukitokea Msiba wanatangaza na vipaza sauti
9.Wasichana wengi wadogo kuwa na watoto pia wanawake wengi kubeba watoto migongoni
10.Watoto wengi kutomaliza la saba au wakimaliza hawaendelei.
11.Vikosi vya ng'ombe vinapita kwa wingi vikipelekwa machungani hasa ile ming'ombe yenye nundu
Nitaongezea mengine kadri nitakavyokuwa nayasoma mazingira ya huku bushi nawe waweza kuongezea yako unayoyafahamu kuhusu mbwinde.
Likipita gari wanashangaa nakuita ni fuso hata kama ni Isuzu,kula miwa njiani na mahindi ya kuchoma,kunywa porini,kubeba mikuki na fimbo,mapanga,nk.
 
Vijijin Wazee ni wengi kila nyumba ina mzee...Karibuni Kijiji cha Kiegei huku Nachingwea tuchimbe Dhahabu
 
Maelezo yote mtoa mada anaisema kanda ya ziwa bila kupepesa macho na ni kweli 100%
 
Back
Top Bottom