supasonic
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 356
- 309
1. Baada ya kufanya kazi siku 30, unafukuzwa kazi bila mshahara
2. Ukiwa una download kitu kwenye net, inafika 99% alafu inagoma
3. Unaingia na kibomu kwenye pepa halafu unashindwa kuelewa mwandiko wako mwenyewe
4. Unanunua simu Leo tsh elfu sabini halafu kesho zinawekwa kwenye promo zinauzwa elfu thelathini
5. Unamualika Demu mkali kwenye dinner unaagiza samaki alfu mwiba wa samaki unakukaba kooni
6. Unakamata manzi alafu unazama nae getoni halafu unashindwa kusimamisha
7. Unavunja uhusiano na boyfriend Wako halafu siku inayofata ananunua gari aina ya vogue ya shilingi milioni 90
8. Unanunua pafyumu kali lakini kwapa bado linatema
9. Unafanya kazi kwenye kampuni miaka 10 bila kupandishwa cheo na kuongezewa mshahara
10. Unamdanganya mkaba roba kuwa huna simu alafu inaita..
11. Unagombana na mtu barabarani halafu kufika ofisini unapokwenda kuomba kazi unamkuta anakufanyia interview
12. Kama gari lako linatumia muda mwingi gereji kuliko barabarani
13. Kwenye pepa matokeo yanatoka umefeli mathematics na kiswahili pia!!!
14. Unaingia kwenye pepa alafu unasahau jina lako la kwanza
15. Unasajiliwa kama beki kwenye timu ya barani ulaya alafu jaribio la kwanza unapewa kumkaba Lionel Messi
16. Kama mtoto Wako wa pekee anajiunga na JWTZ
17. Kama ukikosea ukaweka super glue machoni badala ya dawa ya macho
18. Kama utapiga picha photoshop lakini bado unaonekana mbaya
19. Kama panya atakula jina lako tu, kwenye Cheti chako muhimu
# Kati ya zote ipi ikitokea unakua umeonewa sana??
Sent using Jamii Forums mobile app
2. Ukiwa una download kitu kwenye net, inafika 99% alafu inagoma
3. Unaingia na kibomu kwenye pepa halafu unashindwa kuelewa mwandiko wako mwenyewe
4. Unanunua simu Leo tsh elfu sabini halafu kesho zinawekwa kwenye promo zinauzwa elfu thelathini
5. Unamualika Demu mkali kwenye dinner unaagiza samaki alfu mwiba wa samaki unakukaba kooni
6. Unakamata manzi alafu unazama nae getoni halafu unashindwa kusimamisha
7. Unavunja uhusiano na boyfriend Wako halafu siku inayofata ananunua gari aina ya vogue ya shilingi milioni 90
8. Unanunua pafyumu kali lakini kwapa bado linatema
9. Unafanya kazi kwenye kampuni miaka 10 bila kupandishwa cheo na kuongezewa mshahara
10. Unamdanganya mkaba roba kuwa huna simu alafu inaita..
11. Unagombana na mtu barabarani halafu kufika ofisini unapokwenda kuomba kazi unamkuta anakufanyia interview
12. Kama gari lako linatumia muda mwingi gereji kuliko barabarani
13. Kwenye pepa matokeo yanatoka umefeli mathematics na kiswahili pia!!!
14. Unaingia kwenye pepa alafu unasahau jina lako la kwanza
15. Unasajiliwa kama beki kwenye timu ya barani ulaya alafu jaribio la kwanza unapewa kumkaba Lionel Messi
16. Kama mtoto Wako wa pekee anajiunga na JWTZ
17. Kama ukikosea ukaweka super glue machoni badala ya dawa ya macho
18. Kama utapiga picha photoshop lakini bado unaonekana mbaya
19. Kama panya atakula jina lako tu, kwenye Cheti chako muhimu
# Kati ya zote ipi ikitokea unakua umeonewa sana??
Sent using Jamii Forums mobile app