Utajuaje kama wewe ni MUHENGA

Sisi wahenga bhana[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Yaani nimejikuta kumbe ni muhenga mbobezi maana du!Kila ikitajwa nimo,ikiwa pamoja na kutoboa kaptura makalioni kwa michezo ya kuserereka kwenye mtelemko wa mlima
 
Hahahaha Chama cha Wahenga tunaunga mkono hoja.

Yajayo Yanafurahisha.
 
Hapana Mkuu, Kama Ni Ivo Basi Wote Ni Wahenga, Hasa Watu Wa Kijijini. Bila Kujali Umri, Mana Mpaka Sasa Mengine Yanafanyika Na Watoto Wa Kijijini.
 
Mkuu umenikumbusha mashati ya Bahama.... Kweli mi n muhenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…