Utajuaje kama wewe ni MUHENGA

Utajuaje kama wewe ni MUHENGA

Sisi wahenga bhana[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Hahahaha Chama cha Wahenga tunaunga mkono hoja.

Yajayo Yanafurahisha.
 
Hapana Mkuu, Kama Ni Ivo Basi Wote Ni Wahenga, Hasa Watu Wa Kijijini. Bila Kujali Umri, Mana Mpaka Sasa Mengine Yanafanyika Na Watoto Wa Kijijini.
 
Kama ulicheza mchezo wa ganda,kombolela,mandewe,
Kama ulishavaa shati la bahama na juliana,viatu vya raizoni,chachacha,raba za DH
Kama ulikula ugali wa yanga,ka uliyakuta mahandaki,kama ulikunywa pepsi cola,kupaka mafuta ya shanti,kucheza goroli za kioo,kutumia debe,na galoni la bati,
Mkuu umenikumbusha mashati ya Bahama.... Kweli mi n muhenga
 
Back
Top Bottom