High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
Union kutoka Uk,ni vizuri....
bei yake mkuu ikoje na mikoani inapatikana maana isije kuwa dar tu
bei yake mkuu ikoje na mikoani inapatikana maana isije kuwa dar tu
Funga chochote ,then jifanye mwizi wa kuvunja na kikichela kufunguka ujue hicho ndo imara.
union kitasa imara hiki bei 40,000/=
Funga chochote ,then jifanye mwizi wa kuvunja na kikichelewa kufunguka ujue hicho ndo imara.
We funga chochote tu hata cha buku jero. Hivi unadhani wale jamaa wakipania kuiba huwa wanaangalia ubora wa kitasa?