Utakaa mkao gani hapa ukiwa ofisini kwa bosi wako?

Kuna kesho.. Nikiacha kazi mahala, huwa siachi kwa kiburi. Nafuata taratibu zote zitakiwazo. Kuna kutamani kurudi ulipotoka kwa sababu ya hali ngumu. Nashauri watu wafanye haya ikitakiwa kuacha kazi
1. Usiache kazi kwa notice ya masaa 24, hasa kama una nafasi ya juu hapo unapofanya kazi.
2. Hata kama ulifanyiwa mabaya wakati upo kazini ofisi fulani, usilipe mabaya siku unaondoka
3. Rudisha kila kitu kwa mujibu wa sera za kampuni yako
4. Usigombane na mtu kisa unaacha kazi. Hujui nani utakutana naye wapi
5. Nenda kazini mpaka siku ya mwisho.

NB: jua kuwa waajili huwa wanawasiliana. Na hata marefa huwa wanaombwa kutoa taarifa juu yako..!!! Nilishakuwa refa kwa mtu fulani, alipofanya jambo nilipigiwa. Kisa cha kupigiwa ni kutoa comment wakati mwana anaajiriwa na akayafanya kama nilivyokomenti
 
Namba 7 ya kibabilon sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
mkuu sijakataa ushauri mzuri sana, ila tu let usume ndo umezipata kwa ghafla, jinsi utavokaa pia iko mikao ya adabu ukumbuke.

NB: nimeongelea mkao tu.
 
mkuu sijakataa ushauri mzuri sana, ila tu let usume ndo umezipata kwa ghafla, jinsi utavokaa pia iko mikao ya adabu ukumbuke.

NB: nimeongelea mkao tu.
Huo mkao unamkalia aliyekuwa bosi wako?
 
Namba 7 ya kibabilon sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kibabiloni siku ya kuacha kazi tu..!! baada ya hapo msoto wake utakumaliza, ukizingatia wengine wanauliza yaliyojiri ulikotoka
 
Kuna mikao hapo Bosi Atakukula Kimasihara naona Nguo zenyewe hujavaa!!
 
Mimi nitakaa namba moja.....sitaonesha dharau....ntakuwa mstaarabu tu....dunia duara
 
Mkao namba 7 ndo wa kiume yaan unyaaaamaaaaaa hzo mikao zngne ni za kidemu
 
Mimi nitakaa namba moja.....sitaonesha dharau....ntakuwa mstaarabu tu....dunia duara
acha uoga wa maisha,, siku zote ukitoka sehemu usiwaze mambo ya huenda nikarudi nilikotoja just think twice how will you focus on your issues.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…