Utakatatifu ndiyo dini yenyewe, haya mambo mengine mnalisha upepo tu

Utakatatifu ndiyo dini yenyewe, haya mambo mengine mnalisha upepo tu

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
If you want God to change your destiny make sure you live with God, saidia Masikini wenye uhitaji wa kweli ukifanya hivi hautokuwa miongoni mwa masikini Maisha yako yote.

Saidia wazazi wako wakiwa bado hai .

Hakikisha unaitunza Familiya yako vizuri .

Walipe wafanyakazi wako ujira mzuri

Hakikisha una heshimu mamlaka zinazo kuongoza

Kaa mbali na Uzinzi na ushirikina .

TOFAUTI na hapo hakuna ombi/maombi yako yatakayopokelewa

Unaishi bila kuwajali wazazi wako yaani unaishi Kama umekufa wakati haujafa hakika unakuwa umejitoa Katika upande wa Mungu moja kea moja
 
If you want God to change your destiny make sure you live with God, saidia Masikini wenye uhitaji wa kweli ukifanya hivi hautokuwa miongoni mwa masikini Maisha yako yote...
Hasa apo kwenye kusaidia wazaz vijana wengi atuzingatii tupo busy kuhudumia piss ambazo mda wowote inakuacha ila ukimsaidia mzaz atakubariki au ukamtafutia kitu cha kuingiza hela utabarikiwa sana.
 
Back
Top Bottom