Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuita wengine walamba asali, huku wewe binafsi ukashindwa kuilamba ndicho kipimo cha akili yako na uwezo wako ilipofikia, why others win breads,and not me, Is my brain work well why I fail and remain blaming others what steps should I follow? Who would be helpful to me?Lakini tatizo la ajira kisheria kimkakati kinchi linatatulika kama wakiamua.
Hofu ya walamba asali ni usiwaamshe waliolala
Sio wote wenye Neema hio ya kutafuna kodi zetu kama umepata bahati ya kuwa kwenye level ya maamuzi ya utafunaji hongera.Kuita wengine walamba asali, huku wewe binafsi ukashindwa kuilamba ndicho kipimo cha akili yako na uwezo wako ilipofikia, why others win breads,and not me, Is my brain work well why I fail and remain blaming others what steps should I follow? Who would be helpful to me?
Kuwa mwimba kwaya hakukuzuii kufanya shughuli zingine na pia kwaya sio ajira naona mfano wako hauendan kabisa.kwa watz wa kizazi hiki cha sasa itawachukua muda mrefu sana kukubaliana na hii hali.
wanaijeria walianza kukubaliana na jambo hili miaka mingi iliyopita.
ndio maana ni kawaida kumkuta mnaijeria mwenye masters anaendesha taxi.
wanaija wengine ndio hawa wanaosumbua nchi mbalimbali kwa matukio ya utapeli wa kwenye mitandao. ni wasomi wenye degree/masters na Phd ktk fani mbalimbali.
pale nairobi kenya, nina rafiki yangu mkenya, ana degree ya science katika biochemistry kutoka nairobi university. alitafuta kazi mpaka akachoka. sasa hivi ni mwanakwaya kwenye kanisa moja la kilokole.