Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Nipe basi hata hicho kisa cha "ukuni"Nilivamia hii Thread , nikidhani unaulizia "Ukuni" ! Kumbe "Mtema kuni"
Hii siifahamu, niwaachie watu wa Mrima, naimani watakutosheleza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe basi hata hicho kisa cha "ukuni"Nilivamia hii Thread , nikidhani unaulizia "Ukuni" ! Kumbe "Mtema kuni"
Hii siifahamu, niwaachie watu wa Mrima, naimani watakutosheleza.
Kutema ni kukata kwa kibantu
kuni hapa jiongeze, kuni kuu ulimwenguni
zamani wanamme ndo walihesabiwa peke yao. Sasa Mzee X aliiba mke wa mfalme. Akatemwa kuni.
Nipe basi hata hicho kisa cha "ukuni"
Hicho hapa noumer ! Labda tungekua kule kwenye jukwaa la wenye nywele zenye rangi ya Mbunge wa Monduli .
nimekupata sasa Kongosho, lakini mbona hawasemi "ukuni" bali wanasema kuni?
Ha ha ha...na ni mtema,si "mtemwa..."
mtema kuni alijifanya kipanga sana wakutema kuni, hasa akiona watu ndo misifa ya kutema kuni inaongezeka mwisho badala ya kutema kuni akajitema mkono kwa misifa.
Mtema kuni alikuwa anatabia ya kukata kuni siku ya j'pili sasa Mungu akaghadhabika na tabia yake, basi akaamua kumtundika kwenye mwezi ndio maana ukiangalia vizuri mwezi unaona kama kuna mwanaume anakata kuni
huyu mzee ukuni ulikatwa akabaki mwanamme shati.
Haku-qualify hata kuwa mwanamme suruali.
Ndo maana ukionywa halafu husikii wanakuambia utakiona cha mtema kuni. Huyu mzee alionywa ila hakusikia.
Nachoka kuandika kirefu.
Hahaha! Ngoja nitoke nje nikatizame mwezi... Nimependa tafsiri yako!Mtema kuni alikuwa anatabia ya kukata kuni siku ya j'pili sasa Mungu akaghadhabika na tabia yake, basi akaamua kumtundika kwenye mwezi ndio maana ukiangalia vizuri mwezi unaona kama kuna mwanaume anakata kuni
Hahaha! Ngoja nitoke nje nikatizame mwezi... Nimependa tafsiri yako!
Afu nakutafuta ujibu mashitaka yako!
Kwa nini aitwe mwanaume suruali asiitwe mwanaume kaptula?
mwanamme kaptula ni kibamia
mwanamme suruali ndo kawaida.
Vibamia vichache ndo maana ikawa mwanamme suruali.
:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:Mtema kuni, yaani kuni inatemwa toka mdomoni?
Yameisha vile jana ulinipitia ile jioni!Mashtaka gani teni sweet wangu