Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Kama hamjui kilichompata story imetoka wapiMtema kuni ni mkata kuni alipatwa na kisa akafa bila kusema kilichompata....
Mtema kuni alikufa na siri yake, kilichompata anajua mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah......Kwa hisani ya Google..... C & PAman iwe nanyi wapendwa
Ni siku nyingi sana huwa nasikia kisa cha mtema kuni
Je mtema kuni ni nani?
Je aliwahi kuwepo au tu ni story za kutunga?
Kitu gan kilimpata huyu mtema kuni?
Kwa kifupi naomba kujua kisa na mkasa mzima wa mtema
Maana huwa naona mtu ukifanya kosa unaambiwa utakiona cha mtema kuni hivyo bas naomba kujua mkasa huu
Nawasilisha
London boy
Sent using Jamii Forums mobile app
do! itoshe kusema nimekubaliDah......Kwa hisani ya Google..... C & P
UTAKIONA CHA MTEMA KUNI!" Nimeambiwa msemo huu wahenga waliupata katika kisa kimoja cha zama za kale.
Wanasema kulikuwa na msitu jirani na kijiji, ndani ya msitu kulikuwa na miti mingi sana. Ilitokea kuwa katika msitu ule, kulikuwa na miti inapishana sana kwa uzuri, na kati yao ulikuwepo ule ambao ni mzuri sana!
Mtema kuni (Mtemakuni maana yake ni Mkatakuni) alienda katika msitu ule katika shughuli zake za kila siku za kukata kuni!
Alipofika jirani na ule mti mzuri, huku akiwa na shoka mkononi, ule mti zuri sana ulikuwa jirani na mti mbaya sana!
Katika hali ya kufedhehesha (kwa nyodo na maringo) ule mti mzuri sana ukawa unamcheka na kumdhihaki ule mti mbaya, kwamba hauna mvuto na ndio maana kuanzia mbali kabisa, Mtemakuni amaonyesha kuvutiwa na (yeye) Mti mzuri! Huku Mtemakuni akizidi kuusogelea mti mzuri, mti mbaya sana ukajifariji kwa kumwambia mti mzuri basi subiri "utakiona cha mtema kuni"
Kilichofuata ni kweli, Mtema kuni aliukata na kuucharanga Mti mzuri sana kiasi cha kuugeuza kuni za kumfaa kubeba na kuondoka nazo, huku akiuacha ule mti mbaya salama salmini pale msituni!
Yakawa ni majuto kwa Mti mzuri na furaha kwa Mti mbaya!
Hivo ndio nilivyopokea kisa cha "mtema kuni"
UJUMBE WAKE KWA JAMII
ππ½
mnaodhani mna uzuri wa sura punguzeni maringo na nyodo!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daah kuna watu wamepindaaAlitema kuni
Sent from my iPhone using JamiiForums
hahaaaAlitema kuni
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii simulizi imetungwa na mtu asiyejua kabisa kilichotokea. Kwa taarifa yako ''mtema kuni'' ndiye aliyepatwa na kisa na si mti. Kwa kifupi hadithi inasema mtema kuni alienda porini na alipokuwa anakata mti kuna kitu kilimtokea, akatupa shoka lake na kuanza kutimua mbio. Kuna baadhi wanasema lilitokea joka kubwa likaanza kumfukuza na wengine wanasema mti ulianza kuzungumza ukimlaani mtema kuni hivyo akakimbia kwa kihoro cha ule muujiza. Miaka ya nyuma wakati gazeti la Uhuru likiwika hasa kwenye safu ya Ushairi hili swali liliwahi kuulizwa na mshairi mmoja gwiji na magwiji wenzake walimjibu. Kuna mshairi mmoja mlemavu asiyeoona akiitwa Andanenga (Sauti ya Kiza) naye alikuwepo kwenye mjadala! Ulikuwa ni mjadala mzuri sana ila sikuweza kufuatilia ili nijue jibu lililokubaliwa na wengi. Ila la msingi ni kuwa mtema kuni ndiye aliyepatwa na masaibu na siyo mti kama simulizi yako inavyosema.Dah......Kwa hisani ya Google..... C & P
UTAKIONA CHA MTEMA KUNI!" Nimeambiwa msemo huu wahenga waliupata katika kisa kimoja cha zama za kale.
Wanasema kulikuwa na msitu jirani na kijiji, ndani ya msitu kulikuwa na miti mingi sana. Ilitokea kuwa katika msitu ule, kulikuwa na miti inapishana sana kwa uzuri, na kati yao ulikuwepo ule ambao ni mzuri sana!
Mtema kuni (Mtemakuni maana yake ni Mkatakuni) alienda katika msitu ule katika shughuli zake za kila siku za kukata kuni!
Alipofika jirani na ule mti mzuri, huku akiwa na shoka mkononi, ule mti zuri sana ulikuwa jirani na mti mbaya sana!
Katika hali ya kufedhehesha (kwa nyodo na maringo) ule mti mzuri sana ukawa unamcheka na kumdhihaki ule mti mbaya, kwamba hauna mvuto na ndio maana kuanzia mbali kabisa, Mtemakuni amaonyesha kuvutiwa na (yeye) Mti mzuri! Huku Mtemakuni akizidi kuusogelea mti mzuri, mti mbaya sana ukajifariji kwa kumwambia mti mzuri basi subiri "utakiona cha mtema kuni"
Kilichofuata ni kweli, Mtema kuni aliukata na kuucharanga Mti mzuri sana kiasi cha kuugeuza kuni za kumfaa kubeba na kuondoka nazo, huku akiuacha ule mti mbaya salama salmini pale msituni!
Yakawa ni majuto kwa Mti mzuri na furaha kwa Mti mbaya!
Hivo ndio nilivyopokea kisa cha "mtema kuni"
UJUMBE WAKE KWA JAMII
ππ½
mnaodhani mna uzuri wa sura punguzeni maringo na nyodo!
hahaA hiyo aya ya mwisho dahhDah......Kwa hisani ya Google..... C & P
UTAKIONA CHA MTEMA KUNI!" Nimeambiwa msemo huu wahenga waliupata katika kisa kimoja cha zama za kale.
Wanasema kulikuwa na msitu jirani na kijiji, ndani ya msitu kulikuwa na miti mingi sana. Ilitokea kuwa katika msitu ule, kulikuwa na miti inapishana sana kwa uzuri, na kati yao ulikuwepo ule ambao ni mzuri sana!
Mtema kuni (Mtemakuni maana yake ni Mkatakuni) alienda katika msitu ule katika shughuli zake za kila siku za kukata kuni!
Alipofika jirani na ule mti mzuri, huku akiwa na shoka mkononi, ule mti zuri sana ulikuwa jirani na mti mbaya sana!
Katika hali ya kufedhehesha (kwa nyodo na maringo) ule mti mzuri sana ukawa unamcheka na kumdhihaki ule mti mbaya, kwamba hauna mvuto na ndio maana kuanzia mbali kabisa, Mtemakuni amaonyesha kuvutiwa na (yeye) Mti mzuri! Huku Mtemakuni akizidi kuusogelea mti mzuri, mti mbaya sana ukajifariji kwa kumwambia mti mzuri basi subiri "utakiona cha mtema kuni"
Kilichofuata ni kweli, Mtema kuni aliukata na kuucharanga Mti mzuri sana kiasi cha kuugeuza kuni za kumfaa kubeba na kuondoka nazo, huku akiuacha ule mti mbaya salama salmini pale msituni!
Yakawa ni majuto kwa Mti mzuri na furaha kwa Mti mbaya!
Hivo ndio nilivyopokea kisa cha "mtema kuni"
UJUMBE WAKE KWA JAMII
ππ½
mnaodhani mna uzuri wa sura punguzeni maringo na nyodo!
Niliwahi kusikia kisa kama hicho nadhani ndo chenyeweDah......Kwa hisani ya Google..... C & P
UTAKIONA CHA MTEMA KUNI!" Nimeambiwa msemo huu wahenga waliupata katika kisa kimoja cha zama za kale.
Wanasema kulikuwa na msitu jirani na kijiji, ndani ya msitu kulikuwa na miti mingi sana. Ilitokea kuwa katika msitu ule, kulikuwa na miti inapishana sana kwa uzuri, na kati yao ulikuwepo ule ambao ni mzuri sana!
Mtema kuni (Mtemakuni maana yake ni Mkatakuni) alienda katika msitu ule katika shughuli zake za kila siku za kukata kuni!
Alipofika jirani na ule mti mzuri, huku akiwa na shoka mkononi, ule mti zuri sana ulikuwa jirani na mti mbaya sana!
Katika hali ya kufedhehesha (kwa nyodo na maringo) ule mti mzuri sana ukawa unamcheka na kumdhihaki ule mti mbaya, kwamba hauna mvuto na ndio maana kuanzia mbali kabisa, Mtemakuni amaonyesha kuvutiwa na (yeye) Mti mzuri! Huku Mtemakuni akizidi kuusogelea mti mzuri, mti mbaya sana ukajifariji kwa kumwambia mti mzuri basi subiri "utakiona cha mtema kuni"
Kilichofuata ni kweli, Mtema kuni aliukata na kuucharanga Mti mzuri sana kiasi cha kuugeuza kuni za kumfaa kubeba na kuondoka nazo, huku akiuacha ule mti mbaya salama salmini pale msituni!
Yakawa ni majuto kwa Mti mzuri na furaha kwa Mti mbaya!
Hivo ndio nilivyopokea kisa cha "mtema kuni"
UJUMBE WAKE KWA JAMII
ππ½
mnaodhani mna uzuri wa sura punguzeni maringo na nyodo!
Sijawahi kujuta kujiunga jamii forumDah......Kwa hisani ya Google..... C & P
UTAKIONA CHA MTEMA KUNI!" Nimeambiwa msemo huu wahenga waliupata katika kisa kimoja cha zama za kale.
Wanasema kulikuwa na msitu jirani na kijiji, ndani ya msitu kulikuwa na miti mingi sana. Ilitokea kuwa katika msitu ule, kulikuwa na miti inapishana sana kwa uzuri, na kati yao ulikuwepo ule ambao ni mzuri sana!
Mtema kuni (Mtemakuni maana yake ni Mkatakuni) alienda katika msitu ule katika shughuli zake za kila siku za kukata kuni!
Alipofika jirani na ule mti mzuri, huku akiwa na shoka mkononi, ule mti zuri sana ulikuwa jirani na mti mbaya sana!
Katika hali ya kufedhehesha (kwa nyodo na maringo) ule mti mzuri sana ukawa unamcheka na kumdhihaki ule mti mbaya, kwamba hauna mvuto na ndio maana kuanzia mbali kabisa, Mtemakuni amaonyesha kuvutiwa na (yeye) Mti mzuri! Huku Mtemakuni akizidi kuusogelea mti mzuri, mti mbaya sana ukajifariji kwa kumwambia mti mzuri basi subiri "utakiona cha mtema kuni"
Kilichofuata ni kweli, Mtema kuni aliukata na kuucharanga Mti mzuri sana kiasi cha kuugeuza kuni za kumfaa kubeba na kuondoka nazo, huku akiuacha ule mti mbaya salama salmini pale msituni!
Yakawa ni majuto kwa Mti mzuri na furaha kwa Mti mbaya!
Hivo ndio nilivyopokea kisa cha "mtema kuni"
UJUMBE WAKE KWA JAMII
[emoji1427]
mnaodhani mna uzuri wa sura punguzeni maringo na nyodo!