Kama kweli kaburi lipo limechimba na CCM pamoja na serekali yake.Nawaombeni maoni yenu baada ya CHADEMA kuingia kwenye kaburi viongozi wake walilichimba wenyewe
Baada ya kuiba na kuvuruga uchaguzi, rudisheni mitandao mloifungia basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kweli kaburi lipo limechimba na CCM pamoja na serekali yake.Nawaombeni maoni yenu baada ya CHADEMA kuingia kwenye kaburi viongozi wake walilichimba wenyewe
Unashangilia UNYANG'AU ??!Nawaombeni maoni yenu baada ya CHADEMA kuingia kwenye kaburi viongozi wake walilichimba wenyewe
Kama kweli kaburi lipo limechimba na CCM pamoja na serekali yake.
Baada ya kuiba na kuvuruga uchaguzi, rudisheni mitandao mloifungia basi.
Mnachoweza kufanya sasa ni kupindua uongozi kwenye kambi ya upinzani ili kuweka viongozi wenye mtazamo mpana wa kitaifa kuliko ubinafsi. Sera ya Uhuru na Haki kimsingi ni nia ovu ya viongozi kuwatumia wapiga kura kuwaingiza madarakani. Ushahidi ni matumizi mabaya ya ruzuku na fedha ya jimbo la mbungeUnashangilia UNYANG'AU ??!
Kwani huo ushindi wa ccm Ni halali?!
PumbaMnachoweza kufanya sasa ni kupindua uongozi kwenye kambi ya upinzani ili kuweka viongozi wenye mtazamo mpana wa kitaifa kuliko ubinafsi. Sera ya Uhuru na Haki kimsingi ni nia ovu ya viongozi kuwatumia wapiga kura kuwaingiza madarakani. Ushahidi ni matumizi mabaya ya ruzuku na fedha ya jimbo la mbunge
Ndiyo wenye mtazamo mpana wa kudhibiti kura za maruhani??...Mnachoweza kufanya sasa ni kupindua uongozi kwenye kambi ya upinzani ili kuweka viongozi wenye mtazamo mpana wa kitaifa kuliko ubinafsi. Sera ya Uhuru na Haki kimsingi ni nia ovu ya viongozi kuwatumia wapiga kura kuwaingiza madarakani. Ushahidi ni matumizi mabaya ya ruzuku na fedha ya jimbo la mbunge
Matumizi ya ccm ya kununua binadamu, yaani wabunge na madiwani wa upinzani ni mazuri??!Ushahidi ni matumizi mabaya ya ruzuku na fedha ya jimbo la mbunge
Ili viongozi unaowashabikia waaminike ni budi wawe mfano. Hoja za wale wamefanya vile hakuhalalishi hao wafanye hivyoNdiyo wenye mtazamo mpana wa kudhibiti kura za maruhani??...
- tangiapo wapiga kura huwaingiza madarakani viongozi wao kwa kura halali. Na haina inabidi milango ya kuwaondoa wanaposhindwa kufanya walotumwa isifungwe.
- Report za sieijii yule msiyemtaka mzee Assadi, zasemaje kuhusu matumizi yao.
Akina gwajima ndo viongozi mfano?Ili viongozi unaowashabikia waaminike ni budi wawe mfano. Hoja za wale wamefanya vile hakuhalalishi hao wafanye hivyo