LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Kulingana na muda mchache huu nilioingia kwenye sekta ya ufundi Kuna vitu kadhaa nimejifunza
Mfano juzi Kuna mteja aliniletea pasi baada ya kuikagua nikagundua ile pasi yake haifai Tena kupona kwani ilipiga shoti ikaua mpaka hita lakini ile pasi ilikuwa Bado nzuri kwa bodi lake
Baada ya kumwambia mteja kuwa haifai Tena mteja Wala hakuwaza akaniambia Baki nayo tu utatoa spea hapo.
Na mwingine aliniletea tv nch58 ilikuwa inawaka tu mwanga mweupe tatizo lilikuwa kioo baada ya kumwambia mteja ugonjwa wake na jinsi ilivo ngumu na gharama kubwa kuponyesha basi baada ya kumpigia simu yule mteja na kumjulisha akaniambia nibaki nayo tu Kama spea.
Sasa Kuna wateja hata kitu ambacho hakifai kabisa yeye anakwambia urudishie tu akakitupie ndani au awape watoto wachezee na utakuta labda pengine ameshaenda fundi zaidi ya Moja na shida akaambiwa hiyo hiyo
Au unaweza kwa mfano tv nch3 iliyokufa kioo mafundi huwa tunanunua kiasi kisichozidi 40 sasa unakuta mteja anakwambia umpe laki akithaminisha na Bei aliyonunulia dukani ikiwa nzima halafu anakwambia eti si ni kioo tu ndo kibovu.
Je? Wewe huwa unafanyaje fundi akikwambia hicho kifaa chako hakifai Tena kupona.
Mfano juzi Kuna mteja aliniletea pasi baada ya kuikagua nikagundua ile pasi yake haifai Tena kupona kwani ilipiga shoti ikaua mpaka hita lakini ile pasi ilikuwa Bado nzuri kwa bodi lake
Baada ya kumwambia mteja kuwa haifai Tena mteja Wala hakuwaza akaniambia Baki nayo tu utatoa spea hapo.
Na mwingine aliniletea tv nch58 ilikuwa inawaka tu mwanga mweupe tatizo lilikuwa kioo baada ya kumwambia mteja ugonjwa wake na jinsi ilivo ngumu na gharama kubwa kuponyesha basi baada ya kumpigia simu yule mteja na kumjulisha akaniambia nibaki nayo tu Kama spea.
Sasa Kuna wateja hata kitu ambacho hakifai kabisa yeye anakwambia urudishie tu akakitupie ndani au awape watoto wachezee na utakuta labda pengine ameshaenda fundi zaidi ya Moja na shida akaambiwa hiyo hiyo
Au unaweza kwa mfano tv nch3 iliyokufa kioo mafundi huwa tunanunua kiasi kisichozidi 40 sasa unakuta mteja anakwambia umpe laki akithaminisha na Bei aliyonunulia dukani ikiwa nzima halafu anakwambia eti si ni kioo tu ndo kibovu.
Je? Wewe huwa unafanyaje fundi akikwambia hicho kifaa chako hakifai Tena kupona.