Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Mafundi wa bongo utawajua ni pale wanapobonda bonda kifaa ili kukichomoa. Angalia fundi anavyochomoa beling utatamani aache.
Mafundi wa bongo ni wahatibifu.
UFUNDI SIO UTUNDU NI UJUZI NA UTAFITI. Utundu ni kufanya kitu bila kujua unachofanya. Achenii habari ya utundu someni na fanyeni tafiti kutatua matatizo.
Acheni kutengeneza vitu kwa kuharibu
Mafundi wa bongo ni wahatibifu.
UFUNDI SIO UTUNDU NI UJUZI NA UTAFITI. Utundu ni kufanya kitu bila kujua unachofanya. Achenii habari ya utundu someni na fanyeni tafiti kutatua matatizo.
Acheni kutengeneza vitu kwa kuharibu