Huyo anakupigia hesabu za uongo ww ndo utakuwa shida kawaida ww unayetoa kazi inatakiwa kwanza umwamini fundi halafu ndo akupe gharama za kazi,
Shida Kuna kitu watu wengi hawaeliwi wenyewe hufikiria tu jinsi ya kifaa kilichobadilishwa wanasahau Kuna kujua au kutambua ugonjwa wa kitu ndo kazi kubwa kuliko hata tiba yenyewe,
Ukitaka Mambo yaweza rahisi wewe nenda na kifaa halafu ukifika Anza kumwelekeza chomoa hiki weka hiki toa na kile niweke hiki
Hakika haitazidi 5000 Ila uwe umeshafungua kila kitu.