Mpondoshilla
Member
- Jul 4, 2022
- 36
- 132
Ikitokea Mungu anakuuliza afute kifo au kiendelee tu kuwepo utamshauri nini
Mimi namwambia kiendelee tu ili tuheshimiane
Mimi namwambia kiendelee tu ili tuheshimiane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa anataip huku akianda TO-DOs za kesho...Financial services maliza kutype basi.
Jf imekua na kuchunguliana hii😂😂Financial services maliza kutype basi.
Exactly kwanza nipo njiani narudi home na kauchovuu😂Itakuwa anataip huku akianda TO-DOs za kesho...
Anatumia muda mrefu kuandika sentensi mbili tu....😂😂😂Itakuwa anataip huku akianda TO-DOs za kesho...
Ndo kwenda na wakati, nakusalimu mkuu...Exactly kwanza nipo njiani narudi home na kauchovuu😂
Niko poa mkuu wangu, habari ya huko ulipo?Ndo kwenda na wakati, nakusalimu mkuu...
Twashukuru uzima upo.Niko poa mkuu wangu, habari ya huko ulipo?