Mpondoshilla
Member
- Jul 4, 2022
- 36
- 132
Itakuwa anataip huku akianda TO-DOs za kesho...Financial services maliza kutype basi.
Jf imekua na kuchunguliana hii😂😂Financial services maliza kutype basi.
Exactly kwanza nipo njiani narudi home na kauchovuu😂Itakuwa anataip huku akianda TO-DOs za kesho...
Anatumia muda mrefu kuandika sentensi mbili tu....😂😂😂Itakuwa anataip huku akianda TO-DOs za kesho...
Ndo kwenda na wakati, nakusalimu mkuu...Exactly kwanza nipo njiani narudi home na kauchovuu😂
Niko poa mkuu wangu, habari ya huko ulipo?Ndo kwenda na wakati, nakusalimu mkuu...
Twashukuru uzima upo.Niko poa mkuu wangu, habari ya huko ulipo?