mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,559
Wasalam,
Kumekuwa na hii kauli "utakufa siku si zako" ambayo husemwa kwa mtu pengine mwenye tabia ambayo si ya kukubalika katika jamii,mfano wizi,tamaa,uzinzi,sifa za kijinga, nk nk.
Ama "amekufa siku si zake".
Swali la msingi hapa ni kwamba,wewe unaesema fulani kafa/atakufa siku si zake umetoa wapi huo uwezo wa kujua kuwa anapaswa kufa siku gani???
Ukizingatia binadam hatujui siku wala saa ya kufa kwetu,kifo hakichagui mchanga,kijana wala mzee,sasa iweje wewe binadam mwenzangu uanze kusema flan kafa ama atakufa siku si zake???
Kumekuwa na hii kauli "utakufa siku si zako" ambayo husemwa kwa mtu pengine mwenye tabia ambayo si ya kukubalika katika jamii,mfano wizi,tamaa,uzinzi,sifa za kijinga, nk nk.
Ama "amekufa siku si zake".
Swali la msingi hapa ni kwamba,wewe unaesema fulani kafa/atakufa siku si zake umetoa wapi huo uwezo wa kujua kuwa anapaswa kufa siku gani???
Ukizingatia binadam hatujui siku wala saa ya kufa kwetu,kifo hakichagui mchanga,kijana wala mzee,sasa iweje wewe binadam mwenzangu uanze kusema flan kafa ama atakufa siku si zake???