Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Ikiwa mbinguni/peponi wanaingia watakatifu! Tujiulize swali hili kuwa mtu atakwendaje mbinguni wakati anaishi dunia iliyojawa na dhambi?
Tunatumia vitu vingi vinavyopatikana kwa njia zisizo sawa kama watu wa imani wanavyodai.
Inawezekana mtu akajihisi anatenda mema na ni mchamungu lakini anatumia condom au anakopa na kukopesha wakati mikopo inasemekana ni haramu?
Vipi mtu anayehisi ni mchamungu lakini akanunua nyama iliyopatikana kwa njia haramu pasipokujua? Vipi mtu anaejihisi ni msafi na akajikuta amenunua shamba lililozulumiwa yaani mhusika aliuawa ndipo akauziwa pasipokujua?
Je, vipi mtu anaejihisi ni mchamungu na akanunua mavazi yaliyopatikana kwa njia haramu?
Mtu atavukaje dhambi zote hizi ikiwa kila suala linalomzunguka linamlambisha dhambi?
Tunatumia vitu vingi vinavyopatikana kwa njia zisizo sawa kama watu wa imani wanavyodai.
Inawezekana mtu akajihisi anatenda mema na ni mchamungu lakini anatumia condom au anakopa na kukopesha wakati mikopo inasemekana ni haramu?
Vipi mtu anayehisi ni mchamungu lakini akanunua nyama iliyopatikana kwa njia haramu pasipokujua? Vipi mtu anaejihisi ni msafi na akajikuta amenunua shamba lililozulumiwa yaani mhusika aliuawa ndipo akauziwa pasipokujua?
Je, vipi mtu anaejihisi ni mchamungu na akanunua mavazi yaliyopatikana kwa njia haramu?
Mtu atavukaje dhambi zote hizi ikiwa kila suala linalomzunguka linamlambisha dhambi?