cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
- Thread starter
-
- #21
Acha ushamba dogo utakuwa mtumwa mpka lini ?kwani watanzania wanatangazwa wapi wakipiga tuor tumtangaze ili iweje tunatangaza vivutio vya utalii yeye ni mtu wakawaida tu kama wewe haina haja kumtangaza kama dunia inamjua yeye ndo anawajibu wakutangaza kilichomvutia tz
Kwan yy ni nan mpaka tumtangaze kwenye runinga zetu? Wamekuja akina billigate tajir wadunia akina jennifer Lopez, na umaaruf wao hata hatukuwa na habar nao sembuse huyu negro
Watu wapo busy na unpaid story "bashite"Vyombo vya habari vya Egypt vime-cover sana safari Will Smith nchini humo na wamechukulia kama fursa za kutangaza utalii, I wonder asubuhi utakuta hakuna hata gazeti moja la Kitanzania limeandika juu ya ujio wa legendary huyo.
Wako t na Makonda!Vyombo vya habari vya Egypt vime-cover sana safari Will Smith nchini humo na wamechukulia kama fursa za kutangaza utalii, I wonder asubuhi utakuta hakuna hata gazeti moja la Kitanzania limeandika juu ya ujio wa legendary huyo.
Naona umeshtuka, umeamua kumkimbia Bashite.OMG
Unasikitisha
Sio kusikitisha huyu ni kajamba nani no exposure maisha yake ya kuungaunga na hana akili mwache alivyoOMG
Unasikitisha
Wabongo tuna pride za ajabu sana, itakua ngumu sana kuendelea.Acha ushamba dogo utakuwa mtumwa mpka lini ?kwani watanzania wanatangazwa wapi wakipiga tuor tumtangaze ili iweje tunatangaza vivutio vya utalii yeye ni mtu wakawaida tu kama wewe haina haja kumtangaza kama dunia inamjua yeye ndo anawajibu wakutangaza kilichomvutia tz
Tuko busy na LipumbaVyombo vya habari vya Egypt vime-cover sana safari Will Smith nchini humo na wamechukulia kama fursa za kutangaza utalii, I wonder asubuhi utakuta hakuna hata gazeti moja la Kitanzania limeandika juu ya ujio wa legendary huyo.
Atawajibika vipi sasa kwa matokeo ya waliofeli dsm wkt naye alifeli? Angekuwa mfano wasingefeliDuh Wadau Ishu ya Daudi iishe basi mtafanya ashindwe kuwajibika na Matokeo Mabovu ya Shule za Dar es salaam Necta kushika Mkia kitaifa. Maana yeye anakwepesha na nyie ndio mnazidi kusahaulisha...
Ahsante kwa kutujuza.Actor, producer, songwriter na rapper Will Smith wa Marekani ametua nchini Tanzania kutalii.
Magazeti na wanahabari wa kwa luninga etc mnatia aibu nchi yetu. (kama ulionyesha or kuandika hata kuanzia online basi siku..
Na serikali kitengo cha utalii na nyie mnatia aibu. JE mnasubiri pesa za wananchi muende ulaya kufanya blah blah blah eti kutangaza Tanzania, wakati wenye majina makubwa wanaingia nchini na kutoka kama vile hampo. Kwa masoko mko chiniiii, hata kuwa na ukaribu na makampuni ya kutembeza watalii wakawapa habari za wageni wao mjue mapema mpo tu. Na nyie muitangaze nchi kupitia hao ambao hamuwalipi wakija. Bloggers nao vile vile wengi wanasubiriana tu kwenye habari
Wengi wanakuja na kuondoka, wa nje wakisema walitembelea Kenya tu msimlaumu mtu.
Na mapaparazi muache udaku wa habari asubuhi jioni udaku usioletea faida nchi yetu.
View attachment 477625
View attachment 477626
Kwa kutua na hiyo ndege inaonyesha katokea kule au?
Wewe utakuwa umesoma Koromije na kiumbe yule..Kwan yy ni nan mpaka tumtangaze kwenye runinga zetu? Wamekuja akina billigate tajir wadunia akina jennifer Lopez, na umaaruf wao hata hatukuwa na habar nao sembuse huyu negro
We ni kilaza zaidi ya Jesca J na Bashite D.Acha ushamba dogo utakuwa mtumwa mpka lini ?kwani watanzania wanatangazwa wapi wakipiga tuor tumtangaze ili iweje tunatangaza vivutio vya utalii yeye ni mtu wakawaida tu kama wewe haina haja kumtangaza kama dunia inamjua yeye ndo anawajibu wakutangaza kilichomvutia tz
Acha ushamba dogo utakuwa mtumwa mpka lini ?kwani watanzania wanatangazwa wapi wakipiga tuor tumtangaze ili iweje tunatangaza vivutio vya utalii yeye ni mtu wakawaida tu kama wewe haina haja kumtangaza kama dunia inamjua yeye ndo anawajibu wakutangaza kilichomvutia tz
Nananana na nanaaaaahWilly Smith namkumbuka sana ktk kitu getting jig with it
watu wa type hii ndo wanaifanya tanzania haiendelei bora tukupeleke somalia ukafe na vita jiamini wewe tz ndio edeni watu watakuja hatakama tusipokuwa na kiherehere kama chakoWe ni kilaza zaidi ya Jesca J na Bashite D.