Utalii TZ- Actor Will Smith yupo Tanzania kutalii kutokea USA

Utalii TZ- Actor Will Smith yupo Tanzania kutalii kutokea USA

Acha ushamba dogo utakuwa mtumwa mpka lini ?kwani watanzania wanatangazwa wapi wakipiga tuor tumtangaze ili iweje tunatangaza vivutio vya utalii yeye ni mtu wakawaida tu kama wewe haina haja kumtangaza kama dunia inamjua yeye ndo anawajibu wakutangaza kilichomvutia tz

OMG

Unasikitisha
 
Kwan yy ni nan mpaka tumtangaze kwenye runinga zetu? Wamekuja akina billigate tajir wadunia akina jennifer Lopez, na umaaruf wao hata hatukuwa na habar nao sembuse huyu negro

OMG

Unasikitisha
 
Vyombo vya habari vya Egypt vime-cover sana safari Will Smith nchini humo na wamechukulia kama fursa za kutangaza utalii, I wonder asubuhi utakuta hakuna hata gazeti moja la Kitanzania limeandika juu ya ujio wa legendary huyo.
Watu wapo busy na unpaid story "bashite"
 
Vyombo vya habari vya Egypt vime-cover sana safari Will Smith nchini humo na wamechukulia kama fursa za kutangaza utalii, I wonder asubuhi utakuta hakuna hata gazeti moja la Kitanzania limeandika juu ya ujio wa legendary huyo.
Wako t na Makonda!
 
Hapo ndio wakenya wanapotushindia yaani mambo ya msingi haya pewi kipaumbele inasikitisha sana watanzania tubadilike
 
Acha ushamba dogo utakuwa mtumwa mpka lini ?kwani watanzania wanatangazwa wapi wakipiga tuor tumtangaze ili iweje tunatangaza vivutio vya utalii yeye ni mtu wakawaida tu kama wewe haina haja kumtangaza kama dunia inamjua yeye ndo anawajibu wakutangaza kilichomvutia tz
Wabongo tuna pride za ajabu sana, itakua ngumu sana kuendelea.
 
Vyombo vya habari vya Egypt vime-cover sana safari Will Smith nchini humo na wamechukulia kama fursa za kutangaza utalii, I wonder asubuhi utakuta hakuna hata gazeti moja la Kitanzania limeandika juu ya ujio wa legendary huyo.
Tuko busy na Lipumba
 
Duh Wadau Ishu ya Daudi iishe basi mtafanya ashindwe kuwajibika na Matokeo Mabovu ya Shule za Dar es salaam Necta kushika Mkia kitaifa. Maana yeye anakwepesha na nyie ndio mnazidi kusahaulisha...
Atawajibika vipi sasa kwa matokeo ya waliofeli dsm wkt naye alifeli? Angekuwa mfano wasingefeli
 
Actor, producer, songwriter na rapper Will Smith wa Marekani ametua nchini Tanzania kutalii.

Magazeti na wanahabari wa kwa luninga etc mnatia aibu nchi yetu. (kama ulionyesha or kuandika hata kuanzia online basi siku..

Na serikali kitengo cha utalii na nyie mnatia aibu. JE mnasubiri pesa za wananchi muende ulaya kufanya blah blah blah eti kutangaza Tanzania, wakati wenye majina makubwa wanaingia nchini na kutoka kama vile hampo. Kwa masoko mko chiniiii, hata kuwa na ukaribu na makampuni ya kutembeza watalii wakawapa habari za wageni wao mjue mapema mpo tu. Na nyie muitangaze nchi kupitia hao ambao hamuwalipi wakija. Bloggers nao vile vile wengi wanasubiriana tu kwenye habari

Wengi wanakuja na kuondoka, wa nje wakisema walitembelea Kenya tu msimlaumu mtu.

Na mapaparazi muache udaku wa habari asubuhi jioni udaku usioletea faida nchi yetu.

View attachment 477625

View attachment 477626


Kwa kutua na hiyo ndege inaonyesha katokea kule au?
Ahsante kwa kutujuza.
Ndio maana Kenya wanatupiga mabao kwenye utalii, tunabaki kulalama tuu.
Wahusika amkeni sasa kumekucha!!
 
Kwan yy ni nan mpaka tumtangaze kwenye runinga zetu? Wamekuja akina billigate tajir wadunia akina jennifer Lopez, na umaaruf wao hata hatukuwa na habar nao sembuse huyu negro
Wewe utakuwa umesoma Koromije na kiumbe yule..
 
Acha ushamba dogo utakuwa mtumwa mpka lini ?kwani watanzania wanatangazwa wapi wakipiga tuor tumtangaze ili iweje tunatangaza vivutio vya utalii yeye ni mtu wakawaida tu kama wewe haina haja kumtangaza kama dunia inamjua yeye ndo anawajibu wakutangaza kilichomvutia tz
We ni kilaza zaidi ya Jesca J na Bashite D.
 
Acha ushamba dogo utakuwa mtumwa mpka lini ?kwani watanzania wanatangazwa wapi wakipiga tuor tumtangaze ili iweje tunatangaza vivutio vya utalii yeye ni mtu wakawaida tu kama wewe haina haja kumtangaza kama dunia inamjua yeye ndo anawajibu wakutangaza kilichomvutia tz


Duh!!!!!! nakupa pole.
 
Back
Top Bottom