Utalii wa Kenya taabani kufuatia mzozo na Tanzania, Wawejezaji wamuomba Uhuru Kenyatta kumpigia magoti Magufuli

Kwanza wameua nyumbu wa Serengeti. Kenya wabaya sana they are very crue even to hopeless animals. Shame on you Kenyans☹
 
Unakumbuka waliwahi kutuwekea zuio magari ya utalii wasichukue watalii Kenyata Airport?


Hawa wanadhani we are naive
Ni wapuuzi sana hawa jamaa. Hon Magu usiruhusu ndege zao. Wakome kidogo washike adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…