UTALII WA NDANI: Ziwa Kyungulu/ Kyungulu Crater Lake, Mbeya

UTALII WA NDANI: Ziwa Kyungulu/ Kyungulu Crater Lake, Mbeya

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Ziwa Kyungululu/ Kyungululu crater Lake

Ziwa Kyungululu llinapatikana Lugombo katika kijiji cha Kabembe kata ya Itete, Halmashauri ya Busokelo Wilaya ya Rungwe, linapatikana umbali mdogo kutoka ilipo Hospitali teule ya Itete.

1613446578042.png

Uwapo katika eneo lilipo Ziwa Kyungululu utaweza kuona kwa uzuri Mlima Sutwa, Safu za Mlima Livingstone iliyoambaa mpaka katika Kingo za Ziwa Nyasa, pamoja na ziwa Nyasa, Katika ziwa hili hakuna mto wowote unaoingiza wala kutoa maji unaoweza kuonekana kwa macho.

 
Kula Raha ukasimulie vizuri huko ugonjwa utakapo amua ukupeleke.

Hapana mkuu tukijiweka mkao wa kwenda kusimulia tu badala ya kupambana ili kuishi, nchi kama mabucha mbona tutakuwa tumeyaachia yale majamaa kulinda?

"Believe me" yako busy kweri kweri kutuombea mabaya ili huyu kirusi asiyekuwa na adhabu atuwahishe tukiwa vibudu!

Ole wao watwambie askofu Mwamakula alikuwa na homa kali ya mapafu kama yule dereva wa kule kwenu.

Wajuwe kuwa patachimbika!
 
Asante Buji2.

Mimi napenda sana utalii wa sehemu za huko, na lazima nitafika.

Hili ziwa maji ni fresh?

Na kuna samaki humo?
 
Kwa jinsi nilivyozunguka nchi za SADC Tanzania inaweza kuwa ya Kwanza kwa kuwa na vivutio vingi harafu havitangazwi maana hata hayo magari ya kuwezesha utalii kukua Kodi ipo juu punguzeni au toeni makodi kwenye magari ya utalii ili mpate pesa kwenye utalii zisizo na chenga mito ipo, maziwa, milima, wanyama misitu mnaiangalia tuu mpo busy na Kodi za nyumba za udongo wakati wageni wanatamani sana kuona mandhari zetu...
 
Tunamshukuru kutangaza eneo letu kuwa la kitalii, ila chonde chonde usije fanya serikali itufukuze sisi tunao kaa eneo hili kwa kidingizio cha kuharibu mazingira wakati tupo hapa enzi na enzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
... kuna haja ya kutoa tafsiri sahihi ya ziwa especially surface area! Ziwa vs bwawa vs dimbwi.
 
Hapana mkuu tukijiweka mkao wa kwenda kusimulia tu badala ya kupambana ili kuishi, nchi kama mabucha mbona tutakuwa tumeyaachia yale majamaa kulinda?...
Kwanini pasichimbike sasa hivi? Nenda kampe kampani anapigwa baridi peke yake kule.
 
Mkuu hak kaziwa bwana kan maajabu yake nikafup lakin. Ukiingia hakuna kutoka nimesoma kule shule moja inaitwa lufilyo nilipita mara ya kwanza naenda selya katika michezo
 
... kuna haja ya kutoa tafsiri sahihi ya ziwa especially surface area! Ziwa vs bwawa vs dimbwi.
Bwawa ni mkusanyiko wa maji mengi. Ni dogo kuliko ziwa na mara nyingi huwa limetengenezwa na binadamu. Kwa kawaida, maji huzuiwa kutumia lambo katika bonde la mto au katika ardhi iliyochimbwa, ili kuhifadhi maji. Ingawa kuna mabwawa yaliyo na neno 'ziwa' katika jina, tofauti kuu ni kuwa bwawa hutengenezwa na binadamu
 
Tunamshukuru kutangaza eneo letu kuwa la kitalii, ila chonde chonde usije fanya serikali itufukuze sisi tunao kaa eneo hili kwa kidingizio cha kuharibu mazingira wakati tupo hapa enzi na enzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na nyie hasa ndio wahifadhi wa eneo hili
 
... kuna haja ya kutoa tafsiri sahihi ya ziwa especially surface area! Ziwa vs bwawa vs dimbwi.
Mkuu iko ni ziwa kwakua limetokan na crater kwaa maan yak iko hvy
Crater ni ziwa ambalo huwa linatengenzwa kam mlipuko wa volcano utakuwa majj yameingia na kukaa sehm hiyo hiyo ndio tafasri yake koo jua hilo ni ziwa
 
Mk
Mkuu iko ni ziwa kwakua limetokan na crater kwaa maan yak iko hvy
Crater ni ziwa ambalo huwa linatengenzwa kam mlipuko wa volcano utakuwa majj yameingia na kukaa sehm hiyo hiyo ndio tafasri yake koo jua hilo ni ziwa
Asante kwa ufafanuzi
 
waambie ukienda oga hapo nuksi zinatoka na unatajirika fastaaa
 
Kwa jinsi nilivyozunguka nchi za SADC Tanzania inaweza kuwa ya Kwanza kwa kuwa na vivutio vingi harafu havitangazwi maana hata hayo magari ya kuwezesha utalii kukua Kodi ipo juu punguzeni au toeni makodi kwenye magari ya utalii ili mpate pesa kwenye utalii zisizo na chenga mito ipo,maziwa,milima,wanyama misitu mnaiangalia tuu mpo busy na Kodi za nyumba za udongo wakati wageni wanatamani sana kuona mandhari zetu...
Ongeza sauti mzee baba hawajasikia.
Utalii wa ndani ni mzuri sana.
Nalog off
 
Back
Top Bottom