UTALII WA NDANI: Ziwa Kyungulu/ Kyungulu Crater Lake, Mbeya

Kuna moja liko Hanang lina maajabu sana na kwa bahati mbaya hawaja lipromote kabisa
 
Tulipamopene kyusa,tukwisa ikolona shope ikukoma vijo tasi ikiinde
 
Mbona lipo kama kisima/bwawa/dimbwi ... kigezo cha maji kuitwa ziwa ni kipi? ujazo wa maji? upana wa eneo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…