kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Habari za mchana huu wakuu?..
njooni mtoe maoni kuhusu hii kasumba mbona wanawake wasikuizi wakivaa nguo vyupi au makufuli yanaonekana au yanajichora?
hii kitu ni sahihi na je mbona Enzi hizo zamani hatujawahi kuona kitu kama icho?
au viongozi wa kike mbona hawavai ivyo mfano mama salma, Anne makinda, mbona hao hatujawahi kuona chupi imejichora?
njooni mtoe maoni kuhusu hii kasumba mbona wanawake wasikuizi wakivaa nguo vyupi au makufuli yanaonekana au yanajichora?
hii kitu ni sahihi na je mbona Enzi hizo zamani hatujawahi kuona kitu kama icho?
au viongozi wa kike mbona hawavai ivyo mfano mama salma, Anne makinda, mbona hao hatujawahi kuona chupi imejichora?