Utamaduni huu wa wanawake kuvaa nguo halafu nguo za ndani zinajichora ni sawa?

Utamaduni huu wa wanawake kuvaa nguo halafu nguo za ndani zinajichora ni sawa?

Mkuu tatzo kila mmoja akijiheshimu wanawake wengi watabaki masingle. Acha watupe mihemko hata kama huna mpango lazima utoe tamko tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hizo picha wote ni Whites.. Ebu tuwekee za Watanzania. Si unajua tena ngozi nyeusi ilivyo tamu!
 
Habari za mchana huu wakuu?..

njooni mtoe maoni kuhusu hii kasumba mbona wanawake wasikuizi wakivaa nguo vyupi au makufuli yanaonekana au yanajichora?

hii kitu ni sahihi na je mbona Enzi hizo zamani hatujawahi kuona kitu kama icho?

au viongozi wa kike mbona hawavai ivyo mfano mama salma, Anne makinda, mbona hao hatujawahi kuona chupi imejichora?

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo sawa kabisa. Kututamanisha tu.

Mimi nikikutana umevaa hivyo, tukiweka mazoea tu lazima nikutongoze tu hapo hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda hawavai si tutajuaje km wanavaa
Habari za mchana huu wakuu?..

njooni mtoe maoni kuhusu hii kasumba mbona wanawake wasikuizi wakivaa nguo vyupi au makufuli yanaonekana au yanajichora?

hii kitu ni sahihi na je mbona Enzi hizo zamani hatujawahi kuona kitu kama icho?

au viongozi wa kike mbona hawavai ivyo mfano mama salma, Anne makinda, mbona hao hatujawahi kuona chupi imejichora?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyuzi nyingine bila picha zinawezekana ila hii bila picha kwakeli hapana mkuu
 
Ukute ana kimsambwanda fulani hivii...afu kama hivyo.
 
Back
Top Bottom