Picha tafadhali
[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Na yule jamaa wa TPDC anamega misela tu au?
sawa sawa japo umetoka nje ya madaUtamaduni wa waafrica ilikua ni kuvaa ngozi na magome. Haya mengine yote sijui magauni, suruali, kanzu, hijabu tumeokota kutoka kwa watu weupe.
#Bagwell
Nakazia tu,