Utamaduni wa kuandika ndoto/njozi na umuhimu wake

Utamaduni wa kuandika ndoto/njozi na umuhimu wake

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Je una utamaduni wa kuandika ndoto unazoziota?

Ndoto ni lango la taarifa, maarifa NK. Taarifa na maarifa hayo huweza kuwa mazuri/ mema au mabaya/ maovu.

Fikiria unaota kila mara uko makaburini, hushtuki, wala hufuatilii mwenendo mzima wa maisha yako kuanzia umeanza kuota ndoto hiyo.

Mwingine anaota kila siku yuko kwenye party kubwa, anakula vinono, haandiki, hafuatilii, hatimaye anajikuta anaangukia Mbezi Beach kwa Pdidy wa JamiiForums, ukija kushtuka it is too late, wamesha kula kiboga.

Mwingine anaota daily yuko kwenye shule ya msingi, ni mwanafunzi, yuko la Pili A, mkononi ana kidumu na ufagio, lakini ni msomi, huenda Ana PhD, kwa kuwa haandiki ndoto zake, hapati fursa au wasaa wa kufuatilia nini maana ya hiyo ndoto kwenye ulimwengu halisi.
 
Mi huwanaandika ila sioni kama kuandika kunasaidia chochote. Ila zile zinazojirudia rudia huwa na dig deep kujua root cause. Kuna ndoto niliota miaka minne mfululizo na hiyo miaka minne nilikua kwenye mkwamo mkubwa sana. Nilipoamua kuivalia njuga na kuishughulikia kiroho nikatoka ktk ule mkwamo
 
Mi huwanaandika ila sioni kama kuandika kunasaidia chochote. Ila zile zinazojirudia rudia huwa na dig deep kujua root cause. Kuna ndoto niliota miaka minne mfululizo na hiyo miaka minne nilikua kwenye mkwamo mkubwa sana. Nilipoamua kuivalia njuga na kuishughulikia kiroho nikatoka ktk ule mkwamo
Hebu tupe kidogo, na JAMHURI ya watu wa JamiiForums tujifunze
 
Back
Top Bottom