Utamaduni wa Usafi wa Zamani!

Baba Tarabushi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2022
Posts
248
Reaction score
433
Habari zenu Wanajukwaa!

Leo nimekumbuka kipindi tuna miaka 3-7 ilikuwa ikifika jioni baada ya michezo ya siku nzima, mama anakagua miguu kama ni michafu kabla ya kuingia ndani (kuoga haikuwa lazima ila Kunawa miguu ilikuwa Jambo la Lazima, mara kumi usiingie ndani kama miguu ni Michafu)

Baada ya kutafakari nikagundua wazazi wetu walikuwa hawataki tuchafue mashuka. Najua kwa washua ilikuwa tofauti kidogo

Tupe experience yako!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…