Utamaduni

Utamaduni

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,192
Reaction score
11,897
Wakati nchi za magharibi zikijikita kufundisha watoto mambo ya mapenzi ya njinsia moja,nchi ya Russian inajikita kufundisha watoto wao namna ya kujenga na kutunza familia.

Nashauri Na sisi Tanzania tuanzishe programs za kulinda familia ikiwepo masomo ya darasani ya kujifunza utamaduni wa kitz na kutunza familia ili kulinda hii Taasisi ambayo ndiyo msingi wa Taifa lolote.tuamke
Screenshot_20240619-155820_Facebook.jpg
 
Wakati nchi za magharibi zikijikita kufundisha watoto mambo ya mapenzi ya njinsia moja,nchi ya Russian inajikita kufundisha watoto wao namna ya kujenga na kutunza familia. Nashauri Na sisi Tanzania tuanzishe programs za kulinda familia ikiwepo masomo ya darasani ya kujifunza utamaduni wa kitz na kutunza familia ili kulinda hii Taasisi ambayo ndiyo msingi wa Taifa lolote.tuamke
Tanzania kuna somo la Home economics
 
Russia ni taifa mojawapo linaloongoza kwa ulevi na kiwango cha juu kabisa cha talaka
 
Kule kwetu kuna masomo wanaita Maarida ya jamii na Sanaa. Ila kinachokuja kuharibu ni hii kitu ya kuitwa Elimu bure
 

Attachments

  • Screenshot_20230617-072801.jpg
    Screenshot_20230617-072801.jpg
    78.3 KB · Views: 2
Russia ni taifa mojawapo ambalo raia wake wanazaa watoto wachache sana, inasemakana sasa hivi inakabiliwa na tatizo la "demographic collapse"
 
Back
Top Bottom