Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Thread starter
- #21
Shukrani sana, hiki kichwa labda nitafute acid maana maji ya kawaida yamegoma.Karibu halafu kanawe kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sana, hiki kichwa labda nitafute acid maana maji ya kawaida yamegoma.Karibu halafu kanawe kichwa
Mimi sio kanjibah asee.Are u Indian?
Karibu bwana KichwaHabari zenu poleni na uchofu wa shunghuli za leo kwa ujumla.
Mgeni katika anga hili naamini nitabata mapokezi mubashara toka kwenu.
...uchofu ..
nitabata ...
Nimekaribia nduguKaribu bwana Kichwa
Hiyo ilikuwa ni wenge tu la kujoin jamiiforum.nini hicho???[emoji115][emoji115][emoji115]
NimekaribiaKaribia
NashukuruKaribu sana mgeni!!! Jiachie tu!!
Sawa sawa muugwana.karibu sana jisikie upo nyumbani
Duuh hii ni zaidi ya ukarimu.Karibu
Karibu mgeni tupate Juice ya papai [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Habari zenu poleni na uchofu wa shunghuli za leo kwa ujumla.
Mgeni katika anga hili naamini nitabata mapokezi mubashara toka kwenu.
Nashukuru sanaKaribu mgeni tupate Juice ya papai [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Asante muungwana.karibu
Pamoja sanakaribu sana JF..........