Utambulisho wa game ya Twaha Kiduku Vs Dulla Mbabe umekaa kibongo movie sana, Shafii Dauda umebugi

Utambulisho wa game ya Twaha Kiduku Vs Dulla Mbabe umekaa kibongo movie sana, Shafii Dauda umebugi

Msukuma wa dar

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
1,160
Reaction score
1,195
Nimeona tangazo kupitia Azam TV. Nikabaki nacheka tu.

Nakumbuka siku wanasign pambano, Dullah alikuwa sereouz. Jamaa alishauri promoter atoe laki2 kwenye pesa yake ili ikitokea Kiduku amemaliza Round basi apewe.

Baada ya hapo ni maigizo tu. Yani Shafii anawafundisha jins ya Ku-Act mpaka radha Inapotea.

Hata siku ya pambano la Mwakinyo utaona jinsi walivyoigiza pale jukwaani.

Ngumi zinahitaj uhalisia . Hata Kaoneka analijua hili. Ila kwa kinachoendelea naona maigizo yanazidi Sana..

Yote kwa yote Mashabiki tunategemea pambano zuri na bora.

Vijana wapasuane. Damu zienee

Sio mtuletee send off km za juzi MLImani. Mechi12 hakuna aliyepasuliwa hata mmoja.. Hiyo si harusi jamani.

Kingine pambano lisiwe live kwa TV.

Ni hayo tu..
Screenshot_20200818-151457.png
 
Nimeona tangazo kupitia Azam TV. Nikabaki nacheka tu.

Nakumbuka siku wanasign pambano, Dullah alikuwa sereouz. Jamaa alishauri promoter atoe laki2 kwny pesa yake ili ikitokea Kiduku amemaliza Round basi apewe.

Bda ya hapo n maigizo tu. Yani Shafii anawafundisha jins ya Ku-Act paka radha Inapotea.

Hata siku ya pambano la Mwakinyo utaona jinsi walivyoigiza pale jukwaani.

Ngumi zinahitaj uhalisia . Hata Kaoneka analijua hili. Ila kwa kinachoendelea naona maigizo yanazidi Sana..

Yote kwa yote Mashabiki tunategemea pambano zuri na bora.

Vijana wapasuane. Damu zienee

Sio mtuletee send off km za juzi MLImani. Mechi12 hakuna aliyepasuliwa hata mmoja.. Hiyo si harusi jamani.

Kingine pambano lisiwe live kwa TV.

Unajua kuwa Boxing is a friendly game? So bado ni mchezo tu na ndio maana wanavaa boxing gloves hawapigani Nakoz to nakoz

Halafu tofautisha free Kickboxing na Boxing
 
Unajua kuwa Boxing is a friendly game? So bado ni mchezo tu na ndio maana wanavaa boxing gloves hawapigani Nakoz to nakoz

Halafu tofautisha free Kickboxing na Boxing

Wewe jamaa wewe.. Huo sio mchezo. N vita mullah..
 
Boxing mchezo wa kirafiki, ila MMA Ni hatari Sana! Mfano Muay Thai! Kuvunjwa taya Ni chap tu!
 
Hivi kuna wanajf wanaotaka kuzitwanga??? Nataka nipromote mchezo!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mkuu ndo kick boxing ilivyo ,ni mchezo wa hatari sana ,mara kibao yaani wanapasuana na wengine wanaendelea kusafisha carpet ,kukabana hadi kukosa punzi ,ni mchezo hatari

 
Back
Top Bottom