byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,647
- 4,184
Vipi afya yako mkuu? Uko fiti?? Sitaki kesi Mimi!Niko hapa MKUU..
Namtak yeyote mwny weight ya 68KG
Mwenye kuhitaj huduma yang anichek
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi afya yako mkuu? Uko fiti?? Sitaki kesi Mimi!Niko hapa MKUU..
Namtak yeyote mwny weight ya 68KG
Mwenye kuhitaj huduma yang anichek
Kickboxing ni cha mtoto kwa Martial Arts (MMA)Mkuu ndo kick boxing ilivyo ,ni mchezo wa hatari sana ,mara kibao yaani wanapasuana na wengine wanaendelea kusafisha carpet ,kukabana hadi kukosa punzi ,ni mchezo hatari
Mimi ngumi siwezi.
Huyo Kaoneka ni mpuuzi tu.Nimeona tangazo kupitia Azam TV. Nikabaki nacheka tu.
Nakumbuka siku wanasign pambano, Dullah alikuwa sereouz. Jamaa alishauri promoter atoe laki2 kwny pesa yake ili ikitokea Kiduku amemaliza Round basi apewe.
Bda ya hapo n maigizo tu. Yani Shafii anawafundisha jins ya Ku-Act paka radha Inapotea.
Hata siku ya pambano la Mwakinyo utaona jinsi walivyoigiza pale jukwaani.
Ngumi zinahitaj uhalisia . Hata Kaoneka analijua hili. Ila kwa kinachoendelea naona maigizo yanazidi Sana..
Yote kwa yote Mashabiki tunategemea pambano zuri na bora.
Vijana wapasuane. Damu zienee
Sio mtuletee send off km za juzi MLImani. Mechi12 hakuna aliyepasuliwa hata mmoja.. Hiyo si harusi jamani.
Kingine pambano lisiwe live kwa TV.
Ni hayo tu..View attachment 1541123
Huyo Kaoneka ni mpuuzi tu.Nimeona tangazo kupitia Azam TV. Nikabaki nacheka tu.
Nakumbuka siku wanasign pambano, Dullah alikuwa sereouz. Jamaa alishauri promoter atoe laki2 kwny pesa yake ili ikitokea Kiduku amemaliza Round basi apewe.
Bda ya hapo n maigizo tu. Yani Shafii anawafundisha jins ya Ku-Act paka radha Inapotea.
Hata siku ya pambano la Mwakinyo utaona jinsi walivyoigiza pale jukwaani.
Ngumi zinahitaj uhalisia . Hata Kaoneka analijua hili. Ila kwa kinachoendelea naona maigizo yanazidi Sana..
Yote kwa yote Mashabiki tunategemea pambano zuri na bora.
Vijana wapasuane. Damu zienee
Sio mtuletee send off km za juzi MLImani. Mechi12 hakuna aliyepasuliwa hata mmoja.. Hiyo si harusi jamani.
Kingine pambano lisiwe live kwa TV.
Ni hayo tu..View attachment 1541123
Wewe ngumi huzijui kabisa ni shabiki maandazi. Eti hawajapasuanaNimeona tangazo kupitia Azam TV. Nikabaki nacheka tu.
Nakumbuka siku wanasign pambano, Dullah alikuwa sereouz. Jamaa alishauri promoter atoe laki2 kwny pesa yake ili ikitokea Kiduku amemaliza Round basi apewe.
Bda ya hapo n maigizo tu. Yani Shafii anawafundisha jins ya Ku-Act paka radha Inapotea.
Hata siku ya pambano la Mwakinyo utaona jinsi walivyoigiza pale jukwaani.
Ngumi zinahitaj uhalisia . Hata Kaoneka analijua hili. Ila kwa kinachoendelea naona maigizo yanazidi Sana..
Yote kwa yote Mashabiki tunategemea pambano zuri na bora.
Vijana wapasuane. Damu zienee
Sio mtuletee send off km za juzi MLImani. Mechi12 hakuna aliyepasuliwa hata mmoja.. Hiyo si harusi jamani.
Kingine pambano lisiwe live kwa TV.
Ni hayo tu..View attachment 1541123
Unaweza?Niko hapa MKUU..
Namtak yeyote mwny weight ya 68KG
Mwenye kuhitaj huduma yang anichek
Inategemea na aina ya bondia.Huu mchezo ukizeeka ni lzma dish liyumbe..
Nyani Ngabu alisema mwana JF yeyote aliye tayari amtafute wazitwangeHivi kuna wanajf wanaotaka kuzitwanga??? Nataka nipromote mchezo!
Huyo Kaoneka ni mpuuzi tu.
Fight nzuri itakuwa kati ya Mwakinyo vs Mfaume Mfaume..ila naona Mwakinyo atatoka nduki tu
Kaoneka nataarifa hizi mkuu
Khaaaaaah afu iweje had kuumizan lolBoxing mbona kupasuana si kihivo ,kick box ndo kupasuana mnaendelea wengine wanaendelea kudeki damu
Tobaaaaaah lolMkuu ndo kick boxing ilivyo ,ni mchezo wa hatari sana ,mara kibao yaani wanapasuana na wengine wanaendelea kusafisha carpet ,kukabana hadi kukosa punzi ,ni mchezo hatari
Kiduku alikuwa vizuri
Dulla a ache ngumi ama aache upumbavu.. Pumbv Sana yule